figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,483
- 54,853
Aliyekuwa Mgombea ujumbe CHADEMA baada yakutangaziwa kuwa ameshinda akawa anaelekea uani karibu na choo kulikuwa na shimo la choo ndipo alipodumbukia na mauti kumpata. Ndani ya shimo pia palikuwemo na maji. Tukio hili limetokea Katika Kituo cha Msalala Road,Geita. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana libarikiwe. Amen
Picha hii inaonyesha shimo alilotumbukia marehemu Bethar Nchimani Ngosha.
Picha hii inaonyesha shimo alilotumbukia marehemu Bethar Nchimani Ngosha.