Atm ya crdb buguruni sheli inanuka

Atm ya crdb buguruni sheli inanuka

kapolo

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
303
Reaction score
104
Nimeingia kwenye ATM ya CRDB hapo buguruni sheli nikasikia harufu mbaya ya uvundo,nikajiuliza hii hali ya hewa vipi??nikaangaza macho nikaona buti za walinzi pale zinatoa harufu ya miguu ni balaa.
 
Nimeingia kwenye ATM ya CRDB hapo buguruni sheli nikasikia harufu mbaya ya uvundo,nikajiuliza hii hali ya hewa vipi??nikaangaza macho nikaona buti za walinzi pale zinatoa harufu ya miguu ni balaa.

Mmmh.... very true.niliingia wiki iliyopita, mibuti ya walinzi wale aisee ni balaa.sikuwa na jinsi ilibidi nifunike pua tu ila wanaosimamia hiyo atm walishughukie.
 
Mmmh.... very true.niliingia wiki iliyopita, mibuti ya walinzi wale aisee ni balaa.sikuwa na jinsi ilibidi nifunike pua tu ila wanaosimamia hiyo atm walishughukie.

Ilinibidi kuvumilia maana sikuwa Na namna mkuu
 
Nimeingia kwenye ATM ya CRDB hapo buguruni sheli nikasikia harufu mbaya ya uvundo,nikajiuliza hii hali ya hewa vipi??nikaangaza macho nikaona buti za walinzi pale zinatoa harufu ya miguu ni balaa.
Ulisikia harufu, ukachunguza ukafahamu chanzo chake. Inakuwaje unasema ATM ya Buguruni inanuka? Kwani harufu ilitoka kwenye ATM?
 
Back
Top Bottom