hamna lotote nyie ukwata cjui ukawa..mnatafuta public sympath.nyie si mmekimbia tulieni basi..hata hao waliobaki tumewatuma kutengeneza katiba..msijifanye nyie ni bora kuliko wao.
Mnalilia serikali 3 si bora mngesema muungano uvunjwe nadhani mngeonekana wa mana..