Erythrocyte JF-Expert Member Nov 6, 2012 117,805 218,454 Dec 1, 2018 #1 Huyu mtu ni mpambanaji asiyekata tamaa na ambaye haki yake anaijua hasa !
Chukwu emeka JF-Expert Member Jan 12, 2018 23,413 36,573 Dec 1, 2018 #3 Sijui kwann wanamuogopa sana wambura?
Mawembasa1979 JF-Expert Member Feb 26, 2015 2,157 2,506 Dec 1, 2018 #4 Ndumbula Ndema said: Sijui kwann wanamuogopa sana wambura? Click to expand... Hata Mikia wenyewe hawataki kumsikia huyu Bwana Mkubwa maana ni kiboko ya wapigaji hela.
Ndumbula Ndema said: Sijui kwann wanamuogopa sana wambura? Click to expand... Hata Mikia wenyewe hawataki kumsikia huyu Bwana Mkubwa maana ni kiboko ya wapigaji hela.
Chukwu emeka JF-Expert Member Jan 12, 2018 23,413 36,573 Dec 1, 2018 #5 Mawembasa1979 said: Hata Mikia wenyewe hawataki kumsikia huyu Bwana Mkubwa maana ni kiboko ya wapigaji hela. Click to expand... Kumbe anapigwa vita cos ana misimamo?
Mawembasa1979 said: Hata Mikia wenyewe hawataki kumsikia huyu Bwana Mkubwa maana ni kiboko ya wapigaji hela. Click to expand... Kumbe anapigwa vita cos ana misimamo?
kuku mweus JF-Expert Member May 24, 2018 766 602 Dec 1, 2018 #6 Wambura mtu Wa watu kiboko ya wapiga madili
Mawembasa1979 JF-Expert Member Feb 26, 2015 2,157 2,506 Dec 2, 2018 #7 Ndumbula Ndema said: Kumbe anapigwa vita cos ana misimamo? Click to expand... Loli Malafyale!!!
Natokea Kanda Maalum JF-Expert Member Dec 22, 2016 749 1,303 Dec 2, 2018 #8 Unaweza ukamchukia wambura kwa kila namna ila unapaswa kupenda jitihada zake na kuto kata tamaa
kalagabaho JF-Expert Member Nov 4, 2010 5,461 5,860 Dec 2, 2018 #9 Sasa nyamlani inabidi akakate rufaa yeye maana chuma kimerudi
R rodrick alexander JF-Expert Member Feb 12, 2012 15,211 20,197 Dec 2, 2018 #10 Wambura simpendi ila huyu Rais wa TFF anazidi kutibua bora arudi maana karia nafasi nyeti anafanya teuzi za kirafiki kama katibu mkuu, mkurugenzi wa ufundi na nyinginezo
Wambura simpendi ila huyu Rais wa TFF anazidi kutibua bora arudi maana karia nafasi nyeti anafanya teuzi za kirafiki kama katibu mkuu, mkurugenzi wa ufundi na nyinginezo
Sibonike JF-Expert Member Dec 23, 2010 17,277 17,983 Dec 2, 2018 #11 Mr.Junior said: Kiboko ya wapigaji. Click to expand... Yeye mwenyewe mpigaji mkubwa. Ama umshirikishe mpige wote au uache kupiga. Vinginevyo unaye.
Mr.Junior said: Kiboko ya wapigaji. Click to expand... Yeye mwenyewe mpigaji mkubwa. Ama umshirikishe mpige wote au uache kupiga. Vinginevyo unaye.