GE2025 Athuman Issa ateuliwa ubunge viti maalum mkoani Arusha

GE2025 Athuman Issa ateuliwa ubunge viti maalum mkoani Arusha

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Joined
Jul 30, 2025
Posts
97
Reaction score
324
Nawasilimu kwa jina la muungano,

Nimebubujikwa na machozi ya furaha baada ya kuona mabadiliko ndani ya chama chetu yamefanyika kwa weledi na hakika mabadiliko haya yameleta demokrasia ya kweli ndani ya chama

Ndugu zangu mama katufikia na mama tunampenda kwa kutuletea katiba ambayo matunda yake yameanza kuonekana kwa Wana CCM na watanzania wote kwa ujumla

Leo nimebubujikwa na machozi baada ya kuona ndg yangu Athuman issa kateuliwa ubunge viti maalum arusha ni furaha ya kweli ambayo siwezi kuelezea ni kiasi nafurahia ndugu zanguni

Hakika chama chetu ni mfano wa kuigwa na vyama vyote vya TANZANIA kwa demokrasia hii tuliyo nayo ndani ya chama chetu hakika tumeonesha kuwa sie ndo chama komavu TANZANIA katika demokrasia ya kweli

Niwatakie ijumaa njema ndugu zangu

1754035477963.jpg
 
Nawasilimu kwa jina la muungano,




Nimebubujikwa na machozi ya furaha baada ya kuona mabadiliko ndani ya chama chetu yamefanyika kwa weledi na hakika mabadiliko haya yameleta demokrasia ya kweli ndani ya chama


Ndugu zangu mama katufikia na mama tunampenda kwa kutuletea katiba ambayo matunda yake yameanza kuonekana kwa Wana CCM na watanzania wote kwa ujumla


Leo nimebubujikwa na machozi baada ya kuona ndg yangu Athuman issa kateuliwa ubunge viti maalum arusha ni furaha ya kweli ambayo siwezi kuelezea ni kiasi nafurahia ndugu zanguni



Hakika chama chetu ni mfano wa kuigwa na vyama vyote vya TANZANIA kwa demokrasia hii tuliyo nayo ndani ya chama chetu hakika tumeonesha kuwa sie ndo chama komavu TANZANIA katika demokrasia ya kweli

Niwatakie ijumaa njema ndugu zanguView attachment 3426870
Ktk taarifa ya hovyobya kughushi ni hii. Dr. Asante Rabi Ngoyayi Lowassa? Na ni mwanamke? Acheni kudhalilisha watu. TCRA iko wapi?
 
Hivi viti maalum nao wanapokea stahiki sawa na mbunge wa kawaida?
 
Back
Top Bottom