In terms of speed tu;siyo kila Carina Ti ni mnyonge kwa xtrail,kuna Ti nyingine xtrail hawezi iacha barabarani labda dereva wa Ti aamue tu,kikubwa tusikariri😊😊sijawahi kumiliki carina zaidi ya kupewa lifti au kupanda kama taxi.....sijaona hiyo comfortability unayoisema kwenye karina bosi japo umedadavua vyema sana.
Lakini pia usilinganishe xtrail na carina hata kidogo...xtrail inamuacha carina mbali sana kwa kila kitu..yaani hapo umelinganisha mkurugenzi wa kampuni na mfungua geti wa kampuni...