Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,911
Mkuu BUgatti the fastest inakamua mpaka 520 MPH. Hiyo kitu ingine. Shida sisi huku tumezoea kununua old cars! Na zaidi sana za Japan ambazo ni KPH 180 sanasana itakuwa Na 240. Tembeleeni hats mitandao jamani muone Magari!!Acha kutudanganya mkuu, 320mph hiyo ni bugatti chiron au?