Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 36,155
- 30,836
Kwa maoni ya wabobevu katika siasa za Tanzania, wanaeleza bayana kwamba chama hicho kamwe hakiwezi kuamka wala kufurukuta tena kisiasa nchini Tanzania, na wala hakiaminiki tena mbele ya umma.
CHADEMA imekua kituo cha vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, kumechefua wanazuoni wengi, na pia kimedhoofisha ushawishi wake kwa wananchi, na kukimbiwa na maelfu ya wanachama wake wanaojitambua, waliokataa kubebwa ufala wa kifikra na kufanywa mamluki wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, waliojipenyeza ndani ya chama hicho kwa mgongo wa kufanya siasa.
Kupoteza muelekeo kwa chama hicho kunaelezwa kua funzo kwa vyama vingine vya siasa, vinavyoweza kutekwa nyara kwa kukaribisha vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na hatimae kuishia kupigwa marufuku kwa mujibu wa sheria. Chadema masali imechuja mbele ya wafuasi na wanachama wake kiasi kwamba hata viongozi wake ni wazi kama wamechanganyikiwa hivi.
Pamoja na mambo mengine, maanguko ya vyama vya siasa vyenye nguvu na ushawishi mkubwa kwa umma kama vile NCCR-Mageuzi na CUF zilitokana na viburi, ubinafsi, viongozi waliokosa maono na tabia mbaya na isiyo na faida ya kususia chaguzi. Kwa muktadha huu, chadema ina sifa zote hizo za anguko, ila yenyewe ina nyongeza ya sifa za ziada za anguko lake la kisiasa ambazo ni ukiukaji wa sheria za nchi kwa makusudi, uropokaji, uzushi, uhaini na kua kituo cha vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.
Una maoni gani ndugu mdau kuhusu anguko hilo la fedheha la chadema?
Mungu Ibariki Tanzania
CHADEMA imekua kituo cha vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, kumechefua wanazuoni wengi, na pia kimedhoofisha ushawishi wake kwa wananchi, na kukimbiwa na maelfu ya wanachama wake wanaojitambua, waliokataa kubebwa ufala wa kifikra na kufanywa mamluki wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, waliojipenyeza ndani ya chama hicho kwa mgongo wa kufanya siasa.
Kupoteza muelekeo kwa chama hicho kunaelezwa kua funzo kwa vyama vingine vya siasa, vinavyoweza kutekwa nyara kwa kukaribisha vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na hatimae kuishia kupigwa marufuku kwa mujibu wa sheria. Chadema masali imechuja mbele ya wafuasi na wanachama wake kiasi kwamba hata viongozi wake ni wazi kama wamechanganyikiwa hivi.
Pamoja na mambo mengine, maanguko ya vyama vya siasa vyenye nguvu na ushawishi mkubwa kwa umma kama vile NCCR-Mageuzi na CUF zilitokana na viburi, ubinafsi, viongozi waliokosa maono na tabia mbaya na isiyo na faida ya kususia chaguzi. Kwa muktadha huu, chadema ina sifa zote hizo za anguko, ila yenyewe ina nyongeza ya sifa za ziada za anguko lake la kisiasa ambazo ni ukiukaji wa sheria za nchi kwa makusudi, uropokaji, uzushi, uhaini na kua kituo cha vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.
Una maoni gani ndugu mdau kuhusu anguko hilo la fedheha la chadema?
Mungu Ibariki Tanzania