Athari za kubadilisha kazi kwenye payroll

Athari za kubadilisha kazi kwenye payroll

katichi

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2016
Posts
2,011
Reaction score
1,181
Poleni na kazi wadau wa JF.

Kutoka na sababu mbali mbali watu huwa wanabadili kazi sina haja ya kuzitaja maana zinajulikana. Napenda nijue ikitokea mtu kaacha kazi ya taasisi ya serikali na kuomba nyingine ya serikalini pia na kufanikiwa kupata.

Swali langu ni je anaweza tena kupata namba ya mshahara mana hofu yangu jina lake litaonekana kwenye payroll kwamba alikuwepo kipindi cha nyuma?

Karibuni wenye ujuzi na mambo haya.
 
iko hivi tangu utumishi waanzishe mfumo wa tarifa za mtumishi kwa mfumo wa mtandao ni vigumu mtu aliyeajiliwa akaingizwa kwenye payroll, kuacha kazi alafu ajiriwe upya mfumo hauwezi mpokea kwani tarifa zake za kiutumishi huwa zipo katika mfumo


kipi sasa ufanyika mfumo ukikukataa kuna kitu huwa kinafanyika wanasema kubadilishiwa muundo hivyo maafisa utumishi ujua hiki kitu so ukibadilishiwa muundo unapeta kubadilishiwa muundo ni kuhamishwa kutoka idara uliyokuwepo kuja idara uliopo sasa

ila kumbuka Polisi, mwana jeshi ,askari magereza anaweza toka uko kuja idara nyingine bila tatizo maana tarifa zao hazipo katika hizi payroll za watumishi wengine wa umma

pia mtumishi mwingine wa umma ambaye si askari anaweza kutoka uku kwenda jeshini akapeta tu kwanini tarifa za majeshi na wengine hazipo sehemu moja
 
Mi nacho jua nikuwa wakati wa kuomba ajira ya pili unapaswa kumjulisha mwajiri wako kuwa unataka kubadli kada na barua yako ya ombi LA kazi itakuwa na muhuri na saini ya mwajir hapo wao kule uendako ndo watashuhulikia ila kama umeomba kinyemela jua itakula kwako mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
iko hivi tangu utumishi waanzishe mfumo wa tarifa za mtumishi kwa mfumo wa mtandao ni vigumu mtu aliyeajiliwa akaingizwa kwenye payroll, kuacha kazi alafu ajiriwe upya mfumo hauwezi mpokea kwani tarifa zake za kiutumishi huwa zipo katika mfumo


kipi sasa ufanyika mfumo ukikukataa kuna kitu huwa kinafanyika wanasema kubadilishiwa muundo hivyo maafisa utumishi ujua hiki kitu so ukibadilishiwa muundo unapeta kubadilishiwa muundo ni kuhamishwa kutoka idara uliyokuwepo kuja idara uliopo sasa

ila kumbuka Polisi, mwana jeshi ,askari magereza anaweza toka uko kuja idara nyingine bila tatizo maana tarifa zao hazipo katika hizi payroll za watumishi wengine wa umma

pia mtumishi mwingine wa umma ambaye si askari anaweza kutoka uku kwenda jeshini akapeta tu kwanini tarifa za majeshi na wengine hazipo sehemu moja
Hili ni tatizo kwa kweli
 
Mi nacho jua nikuwa wakati wa kuomba ajira ya pili unapaswa kumjulisha mwajiri wako kuwa unataka kubadli kada na barua yako ya ombi LA kazi itakuwa na muhuri na saini ya mwajir hapo wao kule uendako ndo watashuhulikia ila kama umeomba kinyemela jua itakula kwako mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo nayo ngumu sana je mtu akiresign kwa SAA 24
 
Je kama mtu ameajiriwa na serikali kwa kazi ya muda kwa mfano kuna waalimu walisoma kwa muda mfupi wakapata leseni lakini kwenye kujiendeleza wakasoma fani nyingine ambayo siyo ya ualimu, haifai nao kubadilishiwa kada?
 
ila kumbuka Polisi, mwana jeshi ,askari magereza anaweza toka uko kuja idara nyingine bila tatizo maana tarifa zao hazipo katika hizi payroll za watumishi wengine wa umma

pia mtumishi mwingine wa umma ambaye si askari anaweza kutoka uku kwenda jeshini akapeta tu kwanini tarifa za majeshi na wengine hazipo sehemu moja


Daaah... Kumbe niliogopa bure kwenda Jeshi mwaka jana...
Nikihofia Check number yangu kuonekana Jeshini....
Kumbe bamdogo aliniongopea tu. Sijui anataka kuwa Msoja peke yake ukoo mzima!!!
 
Asante mleta uzi huu na wachangiaji wengine hapa kuna kitu kipya nimejifunza na tumejifunza kwa pamoja shukrani sana.
 
Daaah... Kumbe niliogopa bure kwenda Jeshi mwaka jana...
Nikihofia Check number yangu kuonekana Jeshini....
Kumbe bamdogo aliniongopea tu. Sijui anataka kuwa Msoja peke yake ukoo mzima!!!
haaaa haaaa uliogopa bure tu ungeenda uko ungepeta wengi wameacha kazi uku kwingine wameenda uko wamepeta vizuri tu
 
Poleni na kazi wadau wa JF.

Kutoka na sababu mbali mbali watu huwa wanabadili kazi sina haja ya kuzitaja maana zinajulikana. Napenda nijue ikitokea mtu kaacha kazi ya taasisi ya serikali na kuomba nyingine ya serikalini pia na kufanikiwa kupata.

Swali langu ni je anaweza tena kupata namba ya mshahara mana hofu yangu jina lake litaonekana kwenye payroll kwamba alikuwepo kipindi cha nyuma?

Karibuni wenye ujuzi na mambo haya.
Ukishaitwa mtumishi wa umma jua tu jua unasomeka katika lawson usijidange eti majeshi hawasomeki katika lawson utumishi uliza kwa maafisa utumishi waandamizi watakufahamisha.
 
Swali la msingi la mtoa mada ni ikiwa endapo mtumishi ataacha kazi Kama anaweza kurejea katika utumishi wa umma.
Unapotaka kuacha kazi ni :-
1.kupitia kutoa notice ya masaa 24 kwa mwajiri kupitia kwa msimamizi wako na Kisha kulipa Mshahara wa mwezi mmoja(ni bora barua ya kucha kazi iwe na hicho kiambatisho),
2. au kutoa notice ya ku-resign three months before(hapa hautolipa huo Mshahara) madhara yake, kwa mfumo wa Sasa wa malipo ya Mshahara( Lawson- HCIMS na GSPP) itakua ngumu sana kuajiriwa Tena katika utumishi wa umma, hata ukipata ajira wakati wa kuingizwa kwenye mfumo itakua vigumu kwani taarifa zao zikiishaingizwa tu check number yako itakuja, option iliyopo ni kuomba kibali kurejeshwa kwenye payroll , maombi hayo hutumwa kwa Katibu Mkuu Kiongozi, kurejeshwa unapitia utaratibu kadhaa ikiwemo kufanayiwa taratibu kadhaa ikiwemo upekuzi, Mimi binafsi siwezi kumshauri mtu kuacha kazi ikiwa ana matarajio ya kurejea kwenye utumishi wa umma baadae, kwa jinsi sheria na miongozo ilivyo kwa Sasa, ikitokea nafasi ya ajira omba kazi husika kupitia kwa mwajiri wako ambaye akikufanyie recommendation njema unakuwa na chances nzuri pia.
Nawasilisha!
 
Swali la msingi la mtoa mada ni ikiwa endapo mtumishi ataacha kazi Kama anaweza kurejea katika utumishi wa umma.
Unapotaka kuacha kazi ni :-
1.kupitia kutoa notice ya masaa 24 kwa mwajiri kupitia kwa msimamizi wako na Kisha kulipa Mshahara wa mwezi mmoja(ni bora barua ya kucha kazi iwe na hicho kiambatisho),
2. au kutoa notice ya ku-resign three months before(hapa hautolipa huo Mshahara) madhara yake, kwa mfumo wa Sasa wa malipo ya Mshahara( Lawson- HCIMS na GSPP) itakua ngumu sana kuajiriwa Tena katika utumishi wa umma, hata ukipata ajira wakati wa kuingizwa kwenye mfumo itakua vigumu kwani taarifa zao zikiishaingizwa tu check number yako itakuja, option iliyopo ni kuomba kibali kurejeshwa kwenye payroll , maombi hayo hutumwa kwa Katibu Mkuu Kiongozi, kurejeshwa unapitia utaratibu kadhaa ikiwemo kufanayiwa taratibu kadhaa ikiwemo upekuzi, Mimi binafsi siwezi kumshauri mtu kuacha kazi ikiwa ana matarajio ya kurejea kwenye utumishi wa umma baadae, kwa jinsi sheria na miongozo ilivyo kwa Sasa, ikitokea nafasi ya ajira omba kazi husika kupitia kwa mwajiri wako ambaye akikufanyie recommendation njema unakuwa na chances nzuri pia.
Nawasilisha!
Inawezeka kuacha kazi kwenye utumishi wa umma endapo utaresign na kuondolewa kwenye payroll.Mfano umeacha local government unaenda TANESCO au shirika lolote la umma ambako scale ya mishahara ni tofauti..Lakini ni vigumu kuacha local government alafu ukarudi tena huko..Kwa baadae miundo ya mishahara itapokuwa sawa katika utumishi wa umma itakuwa in vigumu kuacha na kurudi tena..Ushauri fuata taratibu kama unataka kuhama kwenda sehemu unayo taka kwenda..
 
iko hivi tangu utumishi waanzishe mfumo wa tarifa za mtumishi kwa mfumo wa mtandao ni vigumu mtu aliyeajiliwa akaingizwa kwenye payroll, kuacha kazi alafu ajiriwe upya mfumo hauwezi mpokea kwani tarifa zake za kiutumishi huwa zipo katika mfumo


kipi sasa ufanyika mfumo ukikukataa kuna kitu huwa kinafanyika wanasema kubadilishiwa muundo hivyo maafisa utumishi ujua hiki kitu so ukibadilishiwa muundo unapeta kubadilishiwa muundo ni kuhamishwa kutoka idara uliyokuwepo kuja idara uliopo sasa

ila kumbuka Polisi, mwana jeshi ,askari magereza anaweza toka uko kuja idara nyingine bila tatizo maana tarifa zao hazipo katika hizi payroll za watumishi wengine wa umma

pia mtumishi mwingine wa umma ambaye si askari anaweza kutoka uku kwenda jeshini akapeta tu kwanini tarifa za majeshi na wengine hazipo sehemu moja
Hii ya kutoka jeshini kwenda kazi nyingine za kiraia ni kwa kuhama kulingana na taaluma yake au ni kwa kuomba ajira upya kabisa??
 
Daaah... Kumbe niliogopa bure kwenda Jeshi mwaka jana...
Nikihofia Check number yangu kuonekana Jeshini....
Kumbe bamdogo aliniongopea tu. Sijui anataka kuwa Msoja peke yake ukoo mzima!!!
kwa jeshi Alikuongopea
Ila
Kwa wizara ya mambo ya ndani ingekula kwako
 
Back
Top Bottom