ATCL kupeleka ndege Afrika Kusini pamoja na Airhostess walikuwa sahihi, tusichukulie kila jambo ni "ufisadi"

Kwa uzi wa kiuelewa na ufafanuzi wa namna hii subiria kuitwa majina. Utasikia hoo wakala wa mabeberu, umekosa uzalendo. Ila mkuu haya mambo unayajua na umeelezea kitaalam. Hongera
 
Asante kwa hoja MFU!
 
Are you saying we need to send our aircracfts outside Tanzania FOR WASHING so as to avoid "the so called impact on the safety of operations"/' Are you guys SERIOUS?STOP KIDDING!
 
Are you saying we need to send our aircracfts outside Tanzania FOR WASHING so as to avoid "the so called impact on the safety of operations"/' Are you guys SERIOUS?STOP KIDDING!
If necessary yes. If we dont have people that know how to wash a passenger plane in a safe manner. Either that or we train our own people.
 
Naona wewe hujipendi kabisaaa maana ufahamu wa kiwango hicho kwa hapa TZ inaweza kuwa balaa sana.
Kwa kuwa hayo unayoandika wakubwa wetu hawakuyasema kabisaaaaaaa
 
Hawa wahusika wangeachwa na kupeleka ndege SA pamoja na idadi yote ya wasindikizaji tungeona tena wanaojiita wanaharakati wakidai serikali inatumia hela vibaya. wangekuja na msemo wa milioni 200 kupaka rangi tu inamaana hakuna wakupanga rangi nchini? tena ungeitwa huu ni upigaji mwingine.
Ndege imeludiwa rangi sehemu zenye jina na nembo ya twiga tu ambazo hazina madhara yoyote kiufundi kwa sehemu husika.
Tunahitaji kuoshwa akili zetu baazi ya watanzania sio bure kwa hali hii.
 
1+1=? .... wakuu waka introduce Cos ....
Cos 90=1.... then 1+1= Cos90 + Cos 90 ..... tukajichanganya nje ya mada kabsaaaaaa 🀣

(Weka nembo ya twiga na maneno only .. kitu ipae..... Wakaibuka wataalamu... rangi ndege yote koti 6 .... air hostages... Nyambafu)

Stop misusing your brains na kuzua hadithi na mijadala isiyo tija....
 
kupiga rangi juu ya rangi kumeongeza uzito wa ndege kiasi gani na umeathiri vipi kwenye urukaji wa ndege hiyo? Kata povu ujibu kwa hoja mkuu. Sayansi siyo siasa.
 
nenda kwenye vijiwe vya gahawa ukapige story hizo mkuu. Hapa ni hoja za maana siyo bla bla
 
du!
 
Mkuu unaniuliza mimi kweli? Na mimi natamani kujua hizo sababu za kitaalamu kuhusu kupaka rangi juu ya rangi. Kimsingi mimi naona mtoa mda/wataalamu husika wamefunika kombe tu ili...
Mkuu kupaka rangi juu ya rangi athari yake ni kuongeza uzito wa ndege, kuathiri sensors na vitu vingine vinavyohusiana na mawasiliano kama rada/antena nk
 


You F F F F F F F.....

Cos 90° = 1..? ❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
 
Hiki ndo kipindi Cha kupiga, jiulize kwanini meya wa ilala amejiengua
 
Acha uongo wewe hao walitaka kula bahati nzuri watazibwa midomo kabla ya tendo. Magufuli oyeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…