mkuu wa kijiji
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 966
- 1,059
Sakata LA Jburg vipi ? Nimesikia kuna aibu huko !!! Wamekataliwa kupokelewa pia kufanya conference yeyote uwanjani....wakarudi kimya kimya kwa aibu....waandishi wamepigwa mkwara wasiandike
Are you making profits??? Suala kubwa ni faida siyo safari ngapi. Kama mnapata faida safi sana!!!!Shirika la ndege la Tanzania, (ATCL) limeanza Safari yake ya kwanza leo kuelekea Johannesburg nchini Afrika Kusini kwa kutumia ndege yake aina ya Airbus Mkurugenzi wa Shirika hilo, Mhandisi Ladslaus Matindi amesema itakuwa inafanya Safari zake mara nne kwa wiki.
bibii.. tupe mregesho wa safari mbona kimyaaa!!! mmefika au bado mnatalii angani? 😀 😀 😛Shirika la ndege la Tanzania, (ATCL) limeanza Safari yake ya kwanza leo kuelekea Johannesburg nchini Afrika Kusini kwa kutumia ndege yake aina ya Airbus Mkurugenzi wa Shirika hilo, Mhandisi Ladslaus Matindi amesema itakuwa inafanya Safari zake mara nne kwa wiki.
wamewafukuza washindani wao FASTJET walijua wakishindana WATASHINDWA wakaamua kutengeneza figisu kwa kumtumia yule msanii wao ajifanye ameinunua FASTJET afu wambambike makodi na vibali ili wamtoe wabaki wao na WALIFANIKIWA so kilichofuata ni kuongeza nauli kuwa juu sababu wanajua hawana mshindani. wakaruka juuuuu mpaka SAUZI... GHAFLA!! wamegeuzia angani...😀😛😀✌ SHWAIN KABISA!!😎Nimeseme wazi kuwa Mimi ni mtanzania na ninaipenda chi yangu ila kwa kinachofanyika kwenye shirika hill ni uswahili uliopitiliza.
Kwanza kabisa ni bei zao ziko juu mno wananchi wa kawaida hawawezi kuaford. pili wanahold booking ili bei zipande ndio wazielease. Unafanya booking lets say ya mbeya wiki nzima unaambiwa no seat unawapigia simu wanakujibu siku hizi tunajaza sana then unakosa option unaamua kutumia njia nyingine ya usafiri, asubui unaingia tena kuangalia unakuta wamerelease booking ticket ni 375,000 unaamua kujikaza hivyo hivyo unachukua ticket
kituko unaenda kwenye ndege unakuta seat empty zaidi ya 30 UPUUZI MTUPU
Shirika la ndege la Tanzania, (ATCL) limeanza Safari yake ya kwanza leo kuelekea Johannesburg nchini Afrika Kusini kwa kutumia ndege yake aina ya Airbus Mkurugenzi wa Shirika hilo, Mhandisi Ladslaus Matindi amesema itakuwa inafanya Safari zake mara nne kwa wiki.
Shirika la ndege la Tanzania, (ATCL) limeanza Safari yake ya kwanza leo kuelekea Johannesburg nchini Afrika Kusini kwa kutumia ndege yake aina ya Airbus Mkurugenzi wa Shirika hilo, Mhandisi Ladslaus Matindi amesema itakuwa inafanya Safari zake mara nne kwa wiki.
Kiongozi sore, huyo mrembo wa avatar yako ni wewe au nani?Shirika la ndege la Tanzania, (ATCL) limeanza Safari yake ya kwanza leo kuelekea Johannesburg nchini Afrika Kusini kwa kutumia ndege yake aina ya Airbus Mkurugenzi wa Shirika hilo, Mhandisi Ladslaus Matindi amesema itakuwa inafanya Safari zake mara nne kwa wiki.
Shirika la ndege la Tanzania, (ATCL) limeanza Safari yake ya kwanza leo kuelekea Johannesburg nchini Afrika Kusini kwa kutumia ndege yake aina ya Airbus Mkurugenzi wa Shirika hilo, Mhandisi Ladslaus Matindi amesema itakuwa inafanya Safari zake mara nne kwa wiki.
Chadema ndio wameshikilia ndege South Africa. CCM kichwa Tembo akili kisodaWalipokelewa Kwa vifijo na nderemo
Mimi nilizikuta karibia 150 tupu
Mimi naongelea Dreamliner au nikuwekèe Video hapa.Ndugu muogope Mungu, Airbus ina seating capacity 134.. sasa hiyo 150 inatoka wapi?
Ndugu muogope Mungu, Airbus ina seating capacity 134.. sasa hiyo 150 inatoka wapi?