ATCL kunazidi kunoga

Sakata LA Jburg vipi ? Nimesikia kuna aibu huko !!! Wamekataliwa kupokelewa pia kufanya conference yeyote uwanjani....wakarudi kimya kimya kwa aibu....waandishi wamepigwa mkwara wasiandike

Walipokelewa Kwa vifijo na nderemo
 
Hivi. Ile ndege iliyokwenda SA ilifanikiwa kushusha abiria?
 
Are you making profits??? Suala kubwa ni faida siyo safari ngapi. Kama mnapata faida safi sana!!!!
 
bibii.. tupe mregesho wa safari mbona kimyaaa!!! mmefika au bado mnatalii angani? 😀 😀 😛
 
wamewafukuza washindani wao FASTJET walijua wakishindana WATASHINDWA wakaamua kutengeneza figisu kwa kumtumia yule msanii wao ajifanye ameinunua FASTJET afu wambambike makodi na vibali ili wamtoe wabaki wao na WALIFANIKIWA so kilichofuata ni kuongeza nauli kuwa juu sababu wanajua hawana mshindani. wakaruka juuuuu mpaka SAUZI... GHAFLA!! wamegeuzia angani...😀😛😀✌ SHWAIN KABISA!!😎
 
 
Kiongozi sore, huyo mrembo wa avatar yako ni wewe au nani?
 
 
Atakuwa anaongelea lile kubwa lenye seat 262. Kujaza lile kazi kweli kweli hasa kutokana na nauli zao kuwa juu sana. Wakati ule linaanza lilikuwa na unafuu fulani mfano Dar- Kilimanjaro ilikuwa 98000 Sasa hivi ni habari nyingine.
Ndugu muogope Mungu, Airbus ina seating capacity 134.. sasa hiyo 150 inatoka wapi?
 
Liko uraianiiiiii.... Alisikika mrevi mmoja akipayuka huku anakata mauno miuno hadharani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…