baba mtu; we mbona husomi na mtihani ni kesho?
Dogo; majibu ya maswali yote mi ninayo.
Baba mtu; majibu yote unayo? Mpaka hisabati?
Dogo; ndio
Baba mtu; maswali yake umeyaona wapi mpaka uwe na majibu yake?
Dogo; wakati tupo kwenye kipindi cha dini tumeambiwa Yesu ndo jibu.