Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,301
- 829,347
Kuna kitu kinaitwa safe exit.... Kwa mfano ukiwa Dar ukafanya majanga utaangalia sehemu salama zaidi ya kutorokea bila kutiwa nguvuni.....
Airport hapafai...
Utaratibu ni mgumu na wanausalama wanaweza kuwa wameshatangulia huko kukusubiri
Njia ya majini nayo si nzuri japo kuna bandari bubu nyingi... Unaweza kutoboa lakini ukishafika kwenye maji makuu utaenda wapi?
Je, utakuwa na chombo cha uhakika kukufanya ustoroway? (Store away)
Kwa vyovyote njia rahisi ni mipaka ya ardhini ambayo ina njia za panya zaidi ya elfu kukufanya utoke salama.
Njia za mipaka ya ardhini ni nzuri kwakuwa ukishavuka tu kama kuna jirani yako mwema kama kamchezo mlikuwa mnapatana atakuja kukupa msaada kwahiyo ukiona umeharibu ni vema kuanza kujisogeza karibu na mpaka ila wakianza tu kukutafuta unasepa kama cha upepo....
Lakini je wakikuwahi wakakurukia?
Motofire... Itakuwa shangwe na vigelegele

Airport hapafai...
Utaratibu ni mgumu na wanausalama wanaweza kuwa wameshatangulia huko kukusubiri
Njia ya majini nayo si nzuri japo kuna bandari bubu nyingi... Unaweza kutoboa lakini ukishafika kwenye maji makuu utaenda wapi?
Je, utakuwa na chombo cha uhakika kukufanya ustoroway? (Store away)
Kwa vyovyote njia rahisi ni mipaka ya ardhini ambayo ina njia za panya zaidi ya elfu kukufanya utoke salama.
Njia za mipaka ya ardhini ni nzuri kwakuwa ukishavuka tu kama kuna jirani yako mwema kama kamchezo mlikuwa mnapatana atakuja kukupa msaada kwahiyo ukiona umeharibu ni vema kuanza kujisogeza karibu na mpaka ila wakianza tu kukutafuta unasepa kama cha upepo....
Lakini je wakikuwahi wakakurukia?
Motofire... Itakuwa shangwe na vigelegele
