At 110.2 km Dodoma Outer ring Road is the longest Highway U/C in East and central Africa

Sisi tunazungimzia barabara ya kwenye Mji Dodoma City lete ya Nairobi yenye urefu huo tuone achana na barabara za kuunganisha counties hizo hata sisi huku tz tunazijenga dar dodoma 500 dual carriageway and chalinze Moshi 500km dual carriageway loading hatutakuwa na mpinzani katika hilo hata Arusha holili sijazungumzia over 100km
Huyu jamaa ni wazimu. Unazungumza ni kama kujenga dual carriageway ni kazi rahisi. EAC hakuna nchi hata moja ambayo sasa hivi ina 100 kilometres ya continuous dual carriageway. Sasa huo utopolo wako wa 500 km dual carriageway umetoa wapi? Hata South Afrika sidhani wana 500 km of continuous dual carriageway. Key word here is "continuous".
 
Huyu jamaa ni wazimu. Unazungumza ni kama kujenga dual carriageway ni kazi rahisi. EAC hakuna nchi hata moja ambayo sasa hivi ina 100 kilometres ya continuous dual carriageway. Sasa huo utopolo wako wa 500 km dual carriageway umetoa wapi? Hata South Afrika sidhani wana 500 km of continuous dual carriageway. Key word here is "continuous".
Dodoma ring road ni dual carriage 4 lanes with provision for BRT lanes at the median section is U/C! The highway will have several overpasses and will be outside Dodoma city! Boy u need around +40 km to claim the top spot!
 
Dodoma ring road ni dual carriage 4 lanes with provision for BRT lanes at the median section is U/C! The highway will have several overpasses and will be outside Dodoma city! Boy u need around +40 km to claim the top spot!
Sijakataa. Yenu itakamilika 2025, miaka mitatu ijayo. Kwa sasa hakuna nchi yoyote ya EAC ambayo ina continuous dual carriageway ya zaidi ya 100 km. Hio yenu itahesabika tu itakapokamilika. Yetu ya 84 km inakamilika mwaka huu.
 
Sijakataa. Yenu itakamilika 2025, miaka mitatu ijayo. Kwa sasa hakuna nchi yoyote ya EAC ambayo ina continuous dual carriageway ya zaidi ya 100 km. Hio yenu itahesabika tu itakapokamilika. Yetu ya 84 km inakamilika mwaka huu.
BRT Nairobi ilikuwa ikamilike lini vile? Jomba ngoja ikamilike ndo u-brag! !
 
Sijakataa. Yenu itakamilika 2025, miaka mitatu ijayo. Kwa sasa hakuna nchi yoyote ya EAC ambayo ina continuous dual carriageway ya zaidi ya 100 km. Hio yenu itahesabika tu itakapokamilika. Yetu ya 84 km inakamilika mwaka huu.

Kumbuka its 84km from Kenol to Marua. That's the one under construction.
Nairobi to Kenol is already an existing dual carriage and its 70km in length.

So by the end of the year itakuwa over 150km of continuous median separated highway, 45km or which is a 'superhighway' :D:D
 


Lol. mnaongea mambo ya 2025 yet you are building on vacant land.
Kenya builds similar projects on occupied land in shorter periods.

By 2025, the Nairobi - Nakuru dual carriage will probably be done.
Hapo naona kazi itakuwa ikiendelea Nairobi to Mombasa expressway.
 
Kumbuka its 84km from Kenol to Marua. That's the one under construction.
Nairobi to Kenol is already an existing dual carriage and its 70km in length.

So by the end of the year itakuwa over 150km of continuous median separated highway, 45km or which is a 'superhighway' :D:D
Wow Interesting. I didn't know that. So from where Thika road ends to where this road starts is also a dual carriageway?
 
Wow Interesting. I didn't know that. So from where Thika road ends to where this road starts is also a dual carriageway?

Yep. The original Thika Road dual carriage built by Moi terminated at Kenol.
The superhighway expansion terminated at Thika.

Thika to Kenol dual carriage is actually in excellent condition for such an old road.
 
Yep. The original Thika Road dual carriage built by Moi terminated at Kenol.
The superhighway expansion terminated at Thika.

Thika to Kenol dual carriage is actually in excellent condition for such an old road.
Wow. Thank you for the information. Geza Ulole sasa umesikia? Kuanzia Nairobi CBD hadi Marua ni dual carriageway distance ya takriban 150 km. Sitakuita mpumbavu kama wewe ulivyoniita ila jifunze kwamba mwishoni mwa mwaka huu Kenya itakuwa na 150 km of continuous dual carriageway.
 
Dodoma ring road ni dual carriage 4 lanes with provision for BRT lanes at the median section is U/C! The highway will have several overpasses and will be outside Dodoma city! Boy u need around +40 km to claim the top spot!
Nairobi's ring roads already make more than that and they are all complete.

1.jpg
 
Wow. Thank you for the information. Geza Ulole sasa umesikia? Kuanzia Nairobi CBD hadi Marua ni dual carriageway distance ya takriban 150 km. Sitakuita mpumbavu kama wewe ulivyoniita ila jifunze kwamba mwishoni mwa mwaka huu Kenya itakuwa na 150 km of continuous dual carriageway.
mara hii km zimebadilika toka 84 km to 150 km sio? Mpumbavu ndio wali wake!
 
Pole kwa maumivu mzee. Usijali uchungu itaisha tu.

Cc NairobiWalker kennedy0000
Hawa dual carriageways wameanza kuiona juzi. Tukiongelea zenye ziko under construction watasema nini Wakati Nairobi - Mau Summit (220km) Tayari inajengwa na hiyo ni phase 1. Phase 2 ni Mau Summit - Eldoret (90km), Phase 3 ni Eldoret to Malaba (120km). Ukiweka zote pamoja ni 430km. Halafu ya Nairobi Mombasa ikamilika hiyo ni another477km. Yani zote pamoja zitakuwa 907km of continous dual carriageway.
 
Sijakataa. Yenu itakamilika 2025, miaka mitatu ijayo. Kwa sasa hakuna nchi yoyote ya EAC ambayo ina continuous dual carriageway ya zaidi ya 100 km. Hio yenu itahesabika tu itakapokamilika. Yetu ya 84 km inakamilika mwaka huu.
Ngara to marua is approximately 142km
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom