Ningekemea kwa Jina la Yesu aliye hai, nikifuvunja nguvu zote za majini na mapepo ya kuzimu. kama una Yesu na Yesu yu ndani yako na umesimama katika kweli, hutaogopa nguvu zozote za kiza,(uchawi,ulozi,majini, vinyamkera) kwa maana ushindi utakuwa ni wako.