Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,015
- 95,369
Si lazima familia nzima iwe wanamuziki...Mhhh alikiba mwenyewe kashindwa kumbeba mdogo wake
Si lazima familia nzima iwe wanamuziki...Mhhh alikiba mwenyewe kashindwa kumbeba mdogo wake
Ommy dimpoz week ya nne wimbio wake haujafika than hata views 800,000.. Hali ngumu kwake..Nilimsikia Asley anasema hawezi jiunga Wasafi wala label yoyote Tanzania. Sababu anataka akomae mwenyewe awe Mkubwa zaidi ya Alikiba na Diamond.
Sasa kama amejiunga na Rockstar ndio basi tena. Ukiangalia Ommy Dimpoz hakuna alichofanya baada ya kujiunga Rockstar.
We we we hivi mnadhani wcb ipo juu sababu ya kutegemea sauti tu? ...kuna kuimba hlf kuna biashara ya mziki inataka niningoja tuone anaweza kuiokoa rockstar mkashangaa ikawa kama wbc
Tatizo kiba na aslay...aslay ana uwezo mkubwa kuliko kiba sema kiba mkongwe..halafu huyo kiba mwenywe hana maendeleo atawezaje kumsaidia dogo wkt abdu kiba nae hana loloteUzi huu wamejaa anti-Kiba wanaumia roho kusikia Aslay kufanya kazi na Ali K ,watanzania tuache roho za kichawi ,mtu hata huo mkataba hujui utakuwa unahusu vitu gani tayari mate yamekujaa mdomoni
acha wivu ww diamond mwenyewe kashindwa kuwasaidia madogo zakeMhhh alikiba mwenyewe kashindwa kumbeba mdogo wake
ndo hapo watakapobadil mfumo na kufanya mzik wao uwe wa biashara piaWe we we hivi mnadhani wcb ipo juu sababu ya kutegemea sauti tu? ...kuna kuimba hlf kuna biashara ya mziki inataka nini
Walishindwa kumpaidha baraka na lady jay dee wataweza kwa aslayUnajua kuna muda mwingine mtu anaweza akaandika post ukiisoma ukajua uwezo wa mtu kufikiri.
Yaan una kiwango kikubwa sana cha kufikiri napata picha ww kwenye draft hukamatiki.
Yaan woteee wataponda ila msingi upo hapa mashabiki w kiba watampaisha tuu hata akiimba upupu.
Afu Sasa hizi team mbili zimeongeza mahasimu mjini mrombosso na ashley
Lkn aliye ua YAmoto band, alikosea sana
Kamshindwa barak atamuweza aslayaslay hajitaji kukuzwa kipaji anahitaji kutangazwa tu kaka kipaji kipo pale