Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,037
- 20,400
Askofu Shoo wa Moshi Kilimanjaro ambapo pia ni askofu wa Kanisa la Lutheran,ambalo linamilik Hospitali kubwa kabisa hapa nchini ya kisasa na yenye mandhari nzuri zaidi KCMC amesema Rais Samia ameletwa ili atibu majeraha, swali:-
1. Majeraha tuliyo nayo ni yapi?
2. Majeraha yalianza lini?
3. Nani alisababisha hayo majeraha?
4. Wakati majeraha yameanza, yametokea na yameendelea[kama yapo] huyo Samia alikuwa wapi?
kama yapo, je UVCCM watakubali yatibiwe? kwakuwa wanufaika wakubwa wa majeraha ni wao na chawa wao?
1. Majeraha tuliyo nayo ni yapi?
2. Majeraha yalianza lini?
3. Nani alisababisha hayo majeraha?
4. Wakati majeraha yameanza, yametokea na yameendelea[kama yapo] huyo Samia alikuwa wapi?
kama yapo, je UVCCM watakubali yatibiwe? kwakuwa wanufaika wakubwa wa majeraha ni wao na chawa wao?