Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam ametaja maradhi ambayo yalikuwa yakimsumbua Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo, ambayo ndiyo chanzo hasa cha kifo chake. Ametaja maradhi ya Moyo pamoja na changamoto ya uti wa mgongo ndiyo sababu.
Soma pia