Huu uchaguzi watashiriki mashetani na wazao wao.
Wapiga kura wametekwa, na wengine kupotezwa na wengine kuuawa. Wagombea wa upinzani wameswekwa jela, halafu utakuwaje wa haki na amani? Kama una akili timamu, huwezi kabisa kuongelea uchaguzi wa haki, kwa sababu hiyo haki mashetani yalikwishaipora zamani, kabla ya hiyo siku.
Mashetani yataenda ili yakabariki vitendo vya kishetani vya kuteka na kuua watu. Wacha mashetani yaende yakabebe laana.