askofu Mollel bado ni bilionea Arusha?

askofu Mollel bado ni bilionea Arusha?

mhalisi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
1,181
Reaction score
322
Thomas Mollel maarufu kwa jina la Askofu ni mfanyabiashara maarufu Arusha aliyevuma miaka ya nyuma. aliwahi kuwa na timu yake ya mpira wa miguu na hoteli zote zikiitwa Palsoni. hivi huyu jamaa bado ana hela?
 
Unauliza ili ukampige risasi au?
 
Kamtuma aje ampige promo mana hasikiki tena ulimwenguni
 
Mbona Askofu alishatangulia mbele ya haki mkuu!


Mkuu wewe unamsemea Askofu marehemu THOMAS LAIZER yule aliyekuwa upande wa KKKT DAYOSISI

ASKOFU THOMAS MOLLEL bado yupo na anadunda tu na bado kishilingi si mchovu.
 
Arusha ni mji unaoongoza kwa idadi ya mabilionea Afrika Mashariki na Kati, ila mabilionea wake mpaka wakifa ndio utawasikia...
 
Thomas Mollel maarufu kwa jina la Askofu ni mfanyabiashara maarufu Arusha aliyevuma miaka ya nyuma. aliwahi kuwa na timu yake ya mpira wa miguu na hoteli zote zikiitwa Palsoni. hivi huyu jamaa bado ana hela?
Subiri siku ya kufa kwake utasikia magazeti yanaandika "Simanzi tena Arusha Bilionea Molel afariki"
 
Arusha mji ambao ukiwa na jengo la ghorofa 1 na range rover vogue unaitwa billionea lol
 
Sibiri na mbunge wao adanje watamwita nae bilionea
 
Bilionea ni mtu mwenye utajiri wa zaidi ya bilioni moja bila kujali sarafu (currency). Hivyo kwa shilingi za Tanzania mabilionea wapo wengi tu. sijui kwa nini watu wanapinga kuwa hawapo mbona bilioni moja sio hela ndefu ki-hivyo. fikiria range rover moja tayari ni robo bilioni, mtu anashindwa nini kuwa bilionea Tanzania?
kwa dola ya marekani kuwa milionea tu ni shughuli. lakini watu karibu wote humu JF ni mamilionea kwa shilingi zetu. sasa watu wanashangaa nini bilionea in Tsh?
 
Back
Top Bottom