Hii kweli ni mahali pake apa?malalamiko mengine bwana,Mbona uongonzi wa kanisa ili unaeleweka kuna ngazi tofauti tofauti simgepeleka Huko kwa ngazi husika ikishindikana ngazi iyo mnapanda mpaka uko juu ingekuwa haya makanisa yakilokole ningekuelewa maana yanamilikiwa na watu binafsi Hilo kanisa siyo la huyo mtu Mbona wote mnajua hakuna wajanja hapo kweli au nyinyi Ndio mnaleta fujo hapo?
Malalamiko yamepelekwa mara nyingi huko juu na hakuna jambo lolote linalotekelezwa. Usione tumekuja hapa kwenye jukwaa. Tumefika hadi kwa askofu mkuu lakini hakuna msaada wowote. Msifikiri sisi hatujui kuwa kanisa halina uongozi wa juu. Ofisi za jimbo wanajua suala hili lakini hatua hazijachukuliwa. Sasa tufanyaje
Kama Askofu huyu angekuwa pia anajua utaratibu kuwa wako viongozi wakuu juu yake mbona na yeye anawakamata watu na kuwafungulia mashtaka mahakamani. Huu ndiyo utaratibu wa Kanisa Anglikana kweli? Jamani huyu mzee hawezekani jamani ndiyo maana hata tumeamua kuja humu jukwaani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.