Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,234
Askofu Gwajima amesema yeye amedhamiria kusimama na wananchi. Mimi ni mwanachama wa Chama cha Mapinduzi aliyechagua kusimama pamoja na wananchi ambaye mimi ni mjumbe wa Halamashauri ya CCM ninayekataa utekaji, uonevu wala ufisadi ni medhamiria kusimama na wananchi. Amesema Gwajima