GE2025 Askofu Gwajima: Mimi nimedhamiria kusimama na wananchi, kukataa utekaji, uonevu wala ufisadi

GE2025 Askofu Gwajima: Mimi nimedhamiria kusimama na wananchi, kukataa utekaji, uonevu wala ufisadi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Askofu Gwajima amesema yeye amedhamiria kusimama na wananchi. Mimi ni mwanachama wa Chama cha Mapinduzi aliyechagua kusimama pamoja na wananchi ambaye mimi ni mjumbe wa Halamashauri ya CCM ninayekataa utekaji, uonevu wala ufisadi ni medhamiria kusimama na wananchi. Amesema Gwajima

 
Amedhamiria kusimama na wananchi? sawa 29 awepo kwenye maandamano
 
Tutararuana ile mbaya
Kama hawa waliweza sie tushindwe vipi ?
G4CxyEZXgAA5ope.jpeg
G4Cxx3lWcAASQcF.jpeg
 
Back
Top Bottom