Askofu Gwajima anasimama na wananchi. Nani atasimama na watekaji?

Askofu Gwajima anasimama na wananchi. Nani atasimama na watekaji?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
34,776
Reaction score
46,050
Ame share mhanga wa watekaji:

TAARIFA KWA UMMA.

KUHUSU WAPI TUTAKUTANA KWENYE MAANDAMANO YETU.

Kila mtu atoke nyumbani kwake aende ilipo BARABARA KUU, hapo ndipo tutakapo kutaniana kila mkoa nchi nzima.

Baada ya kukutana BARABARA KUU tutaanza kuelekea MJINI. Kila mkoa upo Mji ambapo zipo ofisi za serikali na makazi ya watumishi wa serikali huko ndiko tunapoenda na maandamano yetu yatadumu hapo kwa muda usiojulikana.

Tunashindwa kusema tutakutania wapi ili kuwatanua ASKARI washindwe kukaa sehemu moja. Kama tukisema tutaanzia maandamano sehemu fulani basi Askari wote watajaa hilo eneo kwasababu ya uchache wao.

Hivyo MAANDAMANO YETU yataanzia popote ilipo BARABARA kuu kila mkoa. Uelekeo ni “MJINI”, hata vijiji kuna miji yao ambapo kuna ofisi za UMMA na makazi ya Watumishi wa serikali hapo ndipo tutamalizia maandamano yetu kutuma salamu za MAANDAMAO.

AHSANTE.🙏🏿

TUTAKUWEPO🫵🏾😎
 
Ame share mhanga wa watekaji:

TAARIFA KWA UMMA.

KUHUSU WAPI TUTAKUTANA KWENYE MAANDAMANO YETU.

Kila mtu atoke nyumbani kwake aende ilipo BARABARA KUU, hapo ndipo tutakapo kutaniana kila mkoa nchi nzima.

Baada ya kukutana BARABARA KUU tutaanza kuelekea MJINI. Kila mkoa upo Mji ambapo zipo ofisi za serikali na makazi ya watumishi wa serikali huko ndiko tunapoenda na maandamano yetu yatadumu hapo kwa muda usiojulikana.

Tunashindwa kusema tutakutania wapi ili kuwatanua ASKARI washindwe kukaa sehemu moja. Kama tukisema tutaanzia maandamano sehemu fulani basi Askari wote watajaa hilo eneo kwasababu ya uchache wao.

Hivyo MAANDAMANO YETU yataanzia popote ilipo BARABARA kuu kila mkoa. Uelekeo ni “MJINI”, hata vijiji kuna miji yao ambapo kuna ofisi za UMMA na makazi ya Watumishi wa serikali hapo ndipo tutamalizia maandamano yetu kutuma salamu za MAANDAMAO.

AHSANTE.🙏🏿

TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Nasimama na wazalendo hata kama ikiwa ni Gwaji!
 
MO29 Tukutane site

Askofu Gwajima kafunguka yake ya moyoni. Vita vya kuwakataa watekaji ni vya amani. Humor yumo yeye, watu wake, wafuasi wa Lissu, wa Polepole, wa askofu Kitime, wa Mpina nk.

Asubuhi njema inachomoza na Mungu yuko upande wetu.
 
Nasimama na wazalendo hata kama ikiwa ni Gwaji!

Ufumbuzi wa utekwaji hatimaye unanukia.

Gwajima kamaliza kila kitu. Watapatikana hao hadi kina mzee Kibao. Alisema hakuwahi kuuwa mtu!

Hata M na N kulianza na takribani mtu 1,000 tu. Namba ziko upande wetu.
 
Ame share mhanga wa watekaji:

TAARIFA KWA UMMA.

KUHUSU WAPI TUTAKUTANA KWENYE MAANDAMANO YETU.

Kila mtu atoke nyumbani kwake aende ilipo BARABARA KUU, hapo ndipo tutakapo kutaniana kila mkoa nchi nzima.

Baada ya kukutana BARABARA KUU tutaanza kuelekea MJINI. Kila mkoa upo Mji ambapo zipo ofisi za serikali na makazi ya watumishi wa serikali huko ndiko tunapoenda na maandamano yetu yatadumu hapo kwa muda usiojulikana.

Tunashindwa kusema tutakutania wapi ili kuwatanua ASKARI washindwe kukaa sehemu moja. Kama tukisema tutaanzia maandamano sehemu fulani basi Askari wote watajaa hilo eneo kwasababu ya uchache wao.

Hivyo MAANDAMANO YETU yataanzia popote ilipo BARABARA kuu kila mkoa. Uelekeo ni “MJINI”, hata vijiji kuna miji yao ambapo kuna ofisi za UMMA na makazi ya Watumishi wa serikali hapo ndipo tutamalizia maandamano yetu kutuma salamu za MAANDAMAO.

AHSANTE.🙏🏿

TUTAKUWEPO🫵🏾😎
 

Attachments

  • IMG-20250615-WA0033.jpg
    IMG-20250615-WA0033.jpg
    32.6 KB · Views: 9
Back
Top Bottom