Askofu Dk Stephen Munga: Mimi bado ni Askofu wa KKKT

Askofu Dk Stephen Munga: Mimi bado ni Askofu wa KKKT

dubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
3,502
Reaction score
3,485
download (1).jpeg

Baada ya Taarifa kusambaa ya Kuvuliwa Uchungaji wa Askofu Dk Stephen Munga, ameibuka na kudai kwamba yeye bado ni Askofu.

Amedai waliomvua Uaskofu wanajifariji kwa sababu hajawahi kuitwa popote na kuhojiwa juu ya lolote. Amedai ni fitina, chuki na hila ndo zinesababisha hayo kwani Uaskofu hauvuliwi hivyo.

"Hawa ndo walisema tumekalia kuti kavu? Bado mimi ni Askofu na nimewaarifu Maaskofu juu ya hila hizo." amesema Askofu Munga.

Zaidi, soma Askofu Dk Stephen Munga wa KKKT, avuliwa Uchungaji, Wachungaji 7 Wasimamishwa
 
Kwani katiba ya kanisa inasemaje?

Hizo ni hujma, yaani wanataka kumfukuza mwishoni mwa mwaka ili iweje?

Walau wangesubiri xmas na mwaka mpya zipite at least pastor atakua amepata ada ya watoto
 
KKKT inakuwa kama genge la wahuni tu .

kuna sehemu wanaondoa watendaji wao wazuri ili kuweka makampuni yao ya kimaslahi au watu wapigaji.

ninafuatilia baadhi ya dayosisi wanazotarajia kufanya hvyo kuna siku nitazianika hapa.wao wanahisi hawajulikani but waumini ,watu wema ,watu wasiojulikana na Serikali inajua alpha na Omega.

kuna wave ya figisu ndani ya KKKT na imeshajulikana ...wote wanayofanya na wanayotarajia kuyafanya.

baadhi ya wanaoengeneer hayo ni watumishi wastaafu wa Serikali waumini wa kanisa hili...hii haina afya katika kanisa hilo !

#EVERYONE IS WATCHED AT EVERY ANGLE

BWANA YESU ASIFIWE!
 
KKKT inakuwa kama genge la wahuni tu .

kuna sehemu wanaondoa watendaji wao wazuri ili kuweka makampuni yao ya kimaslahi au watu wapigaji.

ninafuatilia baadhi ya dayosisi wanazotarajia kufanya hvyo kuna siku nitazianika hapa.wao wanahisi hawajulikani but waumini ,watu wema ,watu wasiojulikana na Serikali inajua alpha na Omega.

kuna wave ya figisu ndani ya KKKT na imeshajulikana ...wote wanayofanya na wanayotarajia kuyafanya.

baadhi ya wanaoengeneer hayo ni watumishi wastaafu wa Serikali waumini wa kanisa hili...hii haina afya katika kanisa hilo !

#EVERYONE IS WATCHED AT EVERY ANGLE

BWANA YESU ASIFIWE!
Tatizo la kanisa la KKKT ni combinetion kati ya hizi kanda mbili za nchi (kaskazini na nyanda za juu kusini) fraud, witch, corrupt, thief, roho mbaya na upendeleo. Majungu na figisu figisu ndiyo mahali pake.
Undugu na urafiki unalitafuna kanisa. Sema wao wanaelewana pale linapofika swala la kugawana mipunga. Ukikuta mtumishi kaondolewa kkkt ujue ni either yeye ndo yuko sawa au yeye kajilimbikizia kuzidi wengine, ana mkono mfupi
 
Back
Top Bottom