1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 452
- 1,797
Kila cku www unajifanya kukosoa serikali, kila anachokifanya Rais wa nchi wewe huachi kutoa maoni, maoni yako watu wa chadema wanayopost kila mahali hadi chooni.
Kuna mlevi mmoja anaitwa Lissu, hana mipaka katika kuongea, hajulikan kama anapoongea majukwaani anakuwa amekula ngada au cha arusha au cha same au K vant.
Juzi kasema chadema kuna hela chafu, mbona kimya bwana Bagonza.
Wewe ni mnafiki kama viongozi wengine wanafiki mliopo chadema.
Watu wanategemea ww ukiwa kama kiongozi wa dini useme neno kuhusu ushetani wa Lissu, umeganda kimya ukimhofia Lissu.
Toa maoni yako Bagonza, Lissu unamuogopea nini?
Kuna mlevi mmoja anaitwa Lissu, hana mipaka katika kuongea, hajulikan kama anapoongea majukwaani anakuwa amekula ngada au cha arusha au cha same au K vant.
Juzi kasema chadema kuna hela chafu, mbona kimya bwana Bagonza.
Wewe ni mnafiki kama viongozi wengine wanafiki mliopo chadema.
Watu wanategemea ww ukiwa kama kiongozi wa dini useme neno kuhusu ushetani wa Lissu, umeganda kimya ukimhofia Lissu.
Toa maoni yako Bagonza, Lissu unamuogopea nini?