seyayi JF-Expert Member Feb 12, 2018 681 803 Apr 18, 2020 #21 Maandiko kama haya yananifanya nimkumbuke "askari wa mwanga",kichwa maji kutoka namagondo RIP Euphres kezirahabi.
Maandiko kama haya yananifanya nimkumbuke "askari wa mwanga",kichwa maji kutoka namagondo RIP Euphres kezirahabi.
N ngeleuya Member Feb 2, 2019 77 78 Apr 18, 2020 #22 Mungu anabudiwa ktk nyakati zote kuwe na ugonjwa au Vita ibada ,kuacha ibada sijui ni ufunuo kutoka wap.Mungu awape hekima viongozi wa kiroho. Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu anabudiwa ktk nyakati zote kuwe na ugonjwa au Vita ibada ,kuacha ibada sijui ni ufunuo kutoka wap.Mungu awape hekima viongozi wa kiroho. Sent using Jamii Forums mobile app
Upepo wa Pesa JF-Expert Member Aug 8, 2015 21,275 34,261 Apr 18, 2020 #23 Kuna watu watakasirika sana wakisoma hii.