Ze Professor anatetea jimbo lake
Jimbo lake lipi hahahaha (weji)
Dada Sky hii ni kweli ndiyo huyo askofu ni Dr wa ukweliProf. Kabudi alipigania sana mawaziri wasitokane na wabunge. Rasimu haikutekelezwa lakini Rais ametekeleza kilio chake. Prof Kabudi si mbunge wa kuchaguliwa. Ameteuliwa. Jimbo lake ni aliyemteuwa. Mnaokosoa mna hoja gani kumpinga MTEULIWA anayemshukuru ALIYEMTEUA? -Askofu Bagonza
View attachment 1127728
Kwa hiyo zile nafasi kumi za Rais kuteua anayemuona anafaa kutoka kwa raia wa kawaida leo mmeitengenezea mada..!!
Kisa cha yote haya ni, nimeokotwa jalalani, nilikuwa maskini.
Fursa zipo kwenye siasa tu, na tena uhakika wa fursa ni ukiwa ccm. Wengine tutakufa na umasikini wetu!Hii nchi, unaweza kulala maskini ukaamka tajiri. Yaani unaweza kulala mhadhiri, kesho asubuhi ukaamka ni mbunge na ni waziri (unakula mshahara wa kibunge na wa kiwaziri). What a country!
Jamani mnamatusi ninyi!Jimbo lake ni aliyemteua
Samahani,naomba ufungue pm yako Boss!Jimbo lake ni aliyemteua
Jimbo lake ni tumbo lake by Tundu LisuJimbo lake lipi hahahaha (weji)
Kwa hiyo zile nafasi kumi za Rais kuteua anayemuona anafaa kutoka kwa raia wa kawaida leo mmeitengenezea mada..!!
Kisa cha yote haya ni, nimeokotwa jalalani, nilikuwa maskini.
Baba Askofu shingoni hiyo ni n'gwalu au Boroka?Prof. Kabudi alipigania sana mawaziri wasitokane na wabunge. Rasimu haikutekelezwa lakini Rais ametekeleza kilio chake. Prof Kabudi si mbunge wa kuchaguliwa. Ameteuliwa. Jimbo lake ni aliyemteuwa. Mnaokosoa mna hoja gani kumpinga MTEULIWA anayemshukuru ALIYEMTEUA? -Askofu Bagonza
View attachment 1127728
Hii nchi, unaweza kulala maskini ukaamka tajiri. Yaani unaweza kulala mhadhiri, kesho asubuhi ukaamka ni mbunge na ni waziri (unakula mshahara wa kibunge na wa kiwaziri). What a country!