Askofu afariki dunia!

Askofu afariki dunia!

Joined
Apr 7, 2012
Posts
52
Reaction score
8
Mpendwa sana askofu mstaafu raymound mwanyika wa jimbo katoliki njombe amefariki dunia! Mwenyezi mungu ampkokee kwake na amuheasabie mema yake yote na kumsamehe madhaifu yake.
 
RIP ASKOFU RAYMOND MWANYIKA. Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani, amina
 
Askofu mstaafu! Vipi mtumushi wa Bwana astaafu? Ni mgonjwa? Au ni kazi tu kama kazi nyingine kama vile polisi, mwalim, daktari n.k.
 
Alifariki last week, leo ndo yalikuwa maziko yake!!!!!!
 
Back
Top Bottom