Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,707
- 272,600
Watapigana risasi hawa kwa wivu wa kimapenzi.Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, Camillius Wambura amesema polisi wote wanapaswa kukaa kambini ili kurahisisha upatikaji wao. Kauli hiyo ya kisheria ameitoa alipokuwa akizungumza na askari hao mkoani Kilimanjaro.
Swali dogo ni hili je, itakuwaje kwa wale askari walioanzisha matawi ya familia mitaani?
Swali la nyongeza: je, kuna nyumba za kutosha askari wote huko kambini? Zina hadhi?Swali dogo ni hili je, itakuwaje kwa wale askari walioanzisha matawi ya familia mitaani?
Mtu kajijengea kajumba kake kazuri ili asihi viizuri na familia yake wanalazimisha akaishi kwenye vibanda vya bati chini mpk juu (full suit)Kambi zenyewe na miundombinu yake ipo hoi. Kazi ya askari polisi wanaifanya iwe kama laana hao watawala
Walio nacho hawana huruma na hawa wa chini, wao wakubwa hawakai kwenye yala mabati wanakaa mahala pazuri na viyoyozi juuMtu kajijengea kajumba kake kazuri ili asihi viizuri na familia yake wanalazimisha akaishi kwenye vibanda vya bati chini mpk juu (full suit)
Halafu huwa wanatafuniana hatariWatapigana risasi hawa kwa wivu wa kimapenzi.
Yaani!! We acha tuWalio nacho hawana huruma na hawa wa chini, wao wakubwa hawakai kwenye yala mabati wanakaa mahala pazuri na viyoyozi juu
Siku za hivi karibini hizo full suit ni kama hazipo tena! Au sijatembea?Yaani kuishi vile vibanda vya bati vya polisi ni uendawazimu uliotukuka.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Siyo kama laana Bali Ni kazi ya laana.Kambi zenyewe na miundombinu yake ipo hoi. Kazi ya askari polisi wanaifanya iwe kama laana hao watawala
Ni vile tu hawawezu kuvujisha siri wanamkubali vibaya mno. Sema tu viapo.Jana nilienda sehem kupat chakula cha usiku nimefik pale kuna askar wale kikosi cha FFU nae alikua anapat msosi huku anasikiliza nondo za tundulisu sjui ata ulikua mjadala gan ule coz hakuweka headphone aliwek saut kubwa 😂😂 moyon nikajisema duuh kumb wana wanamuelewa san ila ndo ivo tena
AiseeeJana nilienda sehem kupat chakula cha usiku nimefik pale kuna askar wale kikosi cha FFU nae alikua anapat msosi huku anasikiliza nondo za tundulisu sjui ata ulikua mjadala gan ule coz hakuweka headphone aliwek saut kubwamoyon nikajisema duuh kumb wana wanamuelewa san ila ndo ivo tena