Askari wa israel aliwa na papa

Askari wa israel aliwa na papa

gallow bird

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2024
Posts
12,985
Reaction score
15,950
Askari wa jeshi lowezi huko palestina aliliwa na papa alipokua akipoza fuvu kwa kuogelea baharini huko palestina
Ufuo huo sasa unaogopwa na wazayuni,maana papa walionekana kurudi tena na kurandaranda baada ya kuonja kitoweo cha kilowezi
 

Attachments

  • IMG_20250423_210223_840.jpg
    IMG_20250423_210223_840.jpg
    84.7 KB · Views: 14
  • IMG_20250423_210209_838.jpg
    IMG_20250423_210209_838.jpg
    43.2 KB · Views: 20
Ajali kama nyingine wacheni upumbavu! Mnadhani hao wapalestina wana kinga ya kuliwa na hao papa wakizama hapo?

Si ajabu kila mwaka mamia ya wana wa mbwa (ref. Mahmoud Abbas) wanafyekwa hapo. Ila kwa huyu wa nyumba ya Yakobo imekuwa global news!
 
Askari wa jeshi lowezi huko palestina aliliwa na papa alipokua akipoza fuvu kwa kuogelea baharini huko palestina
Ufuo huo sasa unaogopwa na wazayuni,maana papa walionekana kurudi tena na kurandaranda baada ya kuonja kitoweo cha kilowezi
Kwa hiyo papa amewasaidia ndugu zenu wawapalestina au Allah amejibu Dua zenu kuwatetea wapalestina
 
Askari wa jeshi lowezi huko palestina aliliwa na papa alipokua akipoza fuvu kwa kuogelea baharini huko palestina
Ufuo huo sasa unaogopwa na wazayuni,maana papa walionekana kurudi tena na kurandaranda baada ya kuonja kitoweo cha kilowezi
Aishi milele
 
Askari wa jeshi lowezi huko palestina aliliwa na papa alipokua akipoza fuvu kwa kuogelea baharini huko palestina
Ufuo huo sasa unaogopwa na wazayuni,maana papa walionekana kurudi tena na kurandaranda baada ya kuonja kitoweo cha kilowezi
Wana wa Mbwa akili zenu mnazijua ninyi wenyewe tu katika taarifa hiyo huyo aliyeuwawa ni raia wa kawaida wala si askari kama unavyodai wewe!! Upotoshaji kama huu ndiyo unaowafanya muitwe wana wa Mbwa!!
 
Back
Top Bottom