ericmarimbo
Member
- Sep 30, 2011
- 91
- 37
Jeshi la Polisi ni moja ya taasisi zinazoheshimika sana kitaifa na kimataifa, wafanyakazi wa jeshi hili wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa katika jamii.
Inakera na kusikitisha ninapowaona askari polisi wa kike wakiwa wamevaa sketi fupi juu kabisa ya magoti, kwa makusudi wanaonyesha mapaja yao hawa hawana tofauti na Machangudoa wanaojipitishapitisha kwa wanaume wakinadi miili yao, si polisi wa kike tu wapo pia wakiume wanavaa miligezo (kata k) tena visuruali vembamba vilivyowabana makalio, kichekesho kikubwa zaidi viatu vyao ni moka jiulize atamkimbizaje mwalifu na viatu vya moka?
IGP Mwema chukua hatua kali dhidi ya askari polisi hawa wanatia aibu. Polisi anatakiwa awe mkakamavu kuanzia kimavazi.
Inakera na kusikitisha ninapowaona askari polisi wa kike wakiwa wamevaa sketi fupi juu kabisa ya magoti, kwa makusudi wanaonyesha mapaja yao hawa hawana tofauti na Machangudoa wanaojipitishapitisha kwa wanaume wakinadi miili yao, si polisi wa kike tu wapo pia wakiume wanavaa miligezo (kata k) tena visuruali vembamba vilivyowabana makalio, kichekesho kikubwa zaidi viatu vyao ni moka jiulize atamkimbizaje mwalifu na viatu vya moka?
IGP Mwema chukua hatua kali dhidi ya askari polisi hawa wanatia aibu. Polisi anatakiwa awe mkakamavu kuanzia kimavazi.