Askari mwingine auwawa Mkuranga!

hehe alikuwa analisimamisha gari huku yupo barabarani?
nikisema hakuwa muangalifu sijui nitakuwa nimekosea....!!!
 
Ajali kazini!

Aisee hawa jamaa wana roho ngumu kweli kama co njaa maana wanasimamisha gari ipo kasi badala ya kugea pembeni anangangania kukaa katikati ya barabara hajui gari ni bovu,limeibiwa,dereva mlevi nk wao wanakomaa tu!! Hasa hawa wa arusha mtakufa siku c zenu nyambafu kabisaaa!!!
 
Mi nae kuna siku kidogo niwapitie na Barrier yao maana ilikuwa usiku ndio mara ya kwanza napita hiyo njia Kisesa Mwanza Barrier ipo ila giza yaani nimekuja iona hapa na hapa nikavuta brake zote gari ikasimama wakacheka wakafungua nikapita. Serikali iwape hata umeme wa solar
 
Hivi pale Mkuranga huwa hakuna alama za kuonesha kuna kizuizi nyakati za usiku?

Maana kuna ajali nyingine huwa tunajitakia wenyewe, uzembe huweza kusababisha maafa kama haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…