Maalim skido
Member
- Jul 12, 2015
- 6
- 1
Kwanini askari magereza na polisi wanafanya kazi katika mazingira magumu?. Kwanin wasiongezewe mishahara na posho? Kwanni posho ambayo serikal ilipanga kuwapa hawapewi? Sasa kwanin kusiwe na mabadiriko? Kwanin wasipige kura kuleta mabadiliko?