Askari 10,000 kulinda tukio la kuapishwa William Ruto, Septemba 13, 2022

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
Wakati tukio la kuapishwa kwa Rais Mteule William Ruto likitarajiwa kufanyika leo Septemba 13,2022 kwenye uwanja wa Kasarani, tayari maelefu ya watu wamewasili ndani uwanja huo.

William Ruto ataapishwa kuwa Rais wa 5 wa Jamhuru ya Kenya, akimrithi Rais Uhuru Kenyatta ambaye amethibitisha kuwa atahudhuria sherehe hizo na kukabidhi mamlaka kama ilivyoelekezwa na Katiba.

Viongozi hao wawili walikutana katika Ikulu ya Rais Jumatatu Septemba 12 ikiwa ni utamaduni wa kawaida kwa Rais mpya kukutana na mtangulizi wake kabla ya tukio la Uapisho.

============================

Over 10,000 officers were deployed to provide security at the 60,000-seater stadium.

"In anticipation of being part of history, Kenyans have thronged the venue in large numbers. By 5.00 am this morning, the venue had already filled to capacity, as more people continue to troop to the venue.

"To avoid logistical challenges, this is to request the public to make alternative arrangements to view the proceedings, especially from the comfort of their homes," police spokesperson, Bruno Shioso advised in a statement released on Tuesday morning, September 13.

"We thank you for your continued cooperation," Shioso added.

Thousands of Kenyans started travelling from all over the country on Monday night, September 12. A majority were ferried by PSVs and school buses.

William Ruto will be sworn in as the 5th President of Kenya, succeeding President Uhuru Kenyatta who confirmed that he will attend the inauguration ceremony and hand over power as dictated by the Constitution.

The two leaders met at State House, Nairobi, on Monday, September 12 for the traditional orientation of the incoming president.

"My family and I join all Kenyans in wishing the very best to our next President William Samoei Ruto and extending to him our warmest congratulations for receiving the mandate of Kenyans to lead us as our 5th president," Uhuru congratulated his former deputy.

Former Prime Minister and Ruto's competitor, Raila Odinga, however, declined an invitation to attend Ruto's inauguration.

KENYANS
 
Atimize tu ahadi mbili muhimu,
1- kutimua wachina
2- kurudisha bandari mombasa
Mengine yatakuja kidogo kidogo
 
Back
Top Bottom