Tafiti binafsi: 98% ya watu ninaokutana nao na kuzungumza nao au wakiwa wanazungumza habari za siasa wanaeleza kukerwa na CCM na kutomtaka JK. Nyumbani, ofisini, chuoni, hospitalini, hotelini, sokoni, madukani, kwenye daladala, kwenye tax, kwenye foleni za benki, njiani na katika vijiwe vyangu ninavyopendelea kukaa hukutana na aina hii ya commenti. 98% wanaichukia CCM na hawamtaki JK.
wengi husema rais wao ni Dr Slaa.
Naombeni member wa JF hebu niambieni hali ikoje kwa upande wenu? Inawezekana mimi ndo nasikia vibaya kwa sababu Rais wangu ninayemtambua ni Dr. Slaa
Tafiti binafsi: 98% ya watu ninaokutana nao na kuzungumza nao au wakiwa wanazungumza habari za siasa wanaeleza kukerwa na CCM na kutomtaka JK. Nyumbani, ofisini, chuoni, hospitalini, hotelini, sokoni, madukani, kwenye daladala, kwenye tax, kwenye foleni za benki, njiani na katika vijiwe vyangu ninavyopendelea kukaa hukutana na aina hii ya commenti. 98% wanaichukia CCM na hawamtaki JK.
wengi husema rais wao ni Dr Slaa.
Naombeni member wa JF hebu niambieni hali ikoje kwa upande wenu? Inawezekana mimi ndo nasikia vibaya kwa sababu Rais wangu ninayemtambua ni Dr. Slaa
Wewe utakua mkatoliki Tafiti imefanyika kwenu, Kanisani, ofisini kwa padri, chuo cha st......., hospitali ya Jimbo, hoteli nyuma ya kanisa , mnada wa harambee ya kuchangia usimikwaji wa ........, kwenye gari lililoingizwa bila kulipiwa ushuru eti ni la kituo cha kulelea yatima., benki ya deci na njiani kuelekea kanisani.
:smile-big:
RAISI WANGU NA WA WATANZANIA WOTE NI DK. KIKWETE
Unafaa ukafungiwe jiwe la kusagia na utupwe baharini kwa mawazo ya KIKABWERA
Wewe utakua mkatoliki Tafiti imefanyika kwenu, Kanisani, ofisini kwa padri, chuo cha st......., hospitali ya Jimbo, hoteli nyuma ya kanisa , mnada wa harambee ya kuchangia usimikwaji wa ........, kwenye gari lililoingizwa bila kulipiwa ushuru eti ni la kituo cha kulelea yatima., benki ya deci na njiani kuelekea kanisani.
:smile-big:
RAISI WANGU NA WA WATANZANIA WOTE NI DK. KIKWETE
RAISI WANGU NA WA WATANZANIA WOTE NI DK. KIKWETE
Wewe utakua mkatoliki Tafiti imefanyika kwenu, Kanisani, ofisini kwa padri, chuo cha st......., hospitali ya Jimbo, hoteli nyuma ya kanisa , mnada wa harambee ya kuchangia usimikwaji wa ........, kwenye gari lililoingizwa bila kulipiwa ushuru eti ni la kituo cha kulelea yatima., benki ya deci na njiani kuelekea kanisani.
:smile-big:
RAISI WANGU NA WA WATANZANIA WOTE NI DK. KIKWETE
Acha udini rafiki. Kila jambo unalosema linamtazamo wa udini. Hivi hujui kuwa kuna watu wengi wameoleana dini tofauti? Hujui haya mambo ya udini ni laana? Mungu ni mmoja, Tanzania moja, mafisadi wanaotutafuna ni walewale, watu wetu ni walewale, makabila yetu yaleyale, misikiti na makanisa yamejengwa na udongo wa Tanzania hii hii, hebu ONDOENI mawazo ya udini hii inadhihirisha hata FORM 6 ya Yeboyebo HUJAFIKA? Kama hujafika, nakusihi usijihesabu GREAT THINKER, bali GREAT SINKER!
Wewe utakua mkatoliki Tafiti imefanyika kwenu, Kanisani, ofisini kwa padri, chuo cha st......., hospitali ya Jimbo, hoteli nyuma ya kanisa , mnada wa harambee ya kuchangia usimikwaji wa ........, kwenye gari lililoingizwa bila kulipiwa ushuru eti ni la kituo cha kulelea yatima., benki ya deci na njiani kuelekea kanisani.
:smile-big:
RAISI WANGU NA WA WATANZANIA WOTE NI DK. KIKWETE
nani kasema huo utafiti utakuwa umeufanyia nyumbani kwenu , vijijini na sehemu nyingine watu wanamkubali kama kawa
Wewe utakua mkatoliki Tafiti imefanyika kwenu, Kanisani, ofisini kwa padri, chuo cha st......., hospitali ya Jimbo, hoteli nyuma ya kanisa , mnada wa harambee ya kuchangia usimikwaji wa ........, kwenye gari lililoingizwa bila kulipiwa ushuru eti ni la kituo cha kulelea yatima., benki ya deci na njiani kuelekea kanisani.
:smile-big:
RAISI WANGU NA WA WATANZANIA WOTE NI DK. KIKWETE
Wewe utakua mkatoliki Tafiti imefanyika kwenu, Kanisani, ofisini kwa padri, chuo cha st......., hospitali ya Jimbo, hoteli nyuma ya kanisa , mnada wa harambee ya kuchangia usimikwaji wa ........, kwenye gari lililoingizwa bila kulipiwa ushuru eti ni la kituo cha kulelea yatima., benki ya deci na njiani kuelekea kanisani.
:smile-big:
RAISI WANGU NA WA WATANZANIA WOTE NI DK. KIKWETE
kwa sasa kila mtu anamsaada mkubwa kwani uchaguzi umekwisha sasa tunazungumzia raisi anaechukiwa!!Ndugu utafitin uliofanya ni wawapiga kura au wasiopiga kura?Nahisi kama hiyo data ya wasio piga kura ambao hawana msaada wowote kwenye maendeleo ya nchi yetu.
nashukuru mkuu kwa kugundua hili!Haya ndio matokeo ya mbegu za chuki za kidini alizozipandikiza JK. Tutasikia mengi zaidi kutoka kwa watu wa aina hii.
Tafiti binafsi: 98% ya watu ninaokutana nao na kuzungumza nao au wakiwa wanazungumza habari za siasa wanaeleza kukerwa na CCM na kutomtaka JK. Nyumbani, ofisini, chuoni, hospitalini, hotelini, sokoni, madukani, kwenye daladala, kwenye tax, kwenye foleni za benki, njiani na katika vijiwe vyangu ninavyopendelea kukaa hukutana na aina hii ya commenti. 98% wanaichukia CCM na hawamtaki JK.
wengi husema rais wao ni Dr Slaa.
Naombeni member wa JF hebu niambieni hali ikoje kwa upande wenu? Inawezekana mimi ndo nasikia vibaya kwa sababu Rais wangu ninayemtambua ni Dr. Slaa
Tafiti binafsi: 98% ya watu ninaokutana nao na kuzungumza nao au wakiwa wanazungumza habari za siasa wanaeleza kukerwa na CCM na kutomtaka JK. Nyumbani, ofisini, chuoni, hospitalini, hotelini, sokoni, madukani, kwenye daladala, kwenye tax, kwenye foleni za benki, njiani na katika vijiwe vyangu ninavyopendelea kukaa hukutana na aina hii ya commenti. 98% wanaichukia CCM na hawamtaki JK.
wengi husema rais wao ni Dr Slaa.
Naombeni member wa JF hebu niambieni hali ikoje kwa upande wenu? Inawezekana mimi ndo nasikia vibaya kwa sababu Rais wangu ninayemtambua ni Dr. Slaa
Wewe utakua mkatoliki Tafiti imefanyika kwenu, Kanisani, ofisini kwa padri, chuo cha st......., hospitali ya Jimbo, hoteli nyuma ya kanisa , mnada wa harambee ya kuchangia usimikwaji wa ........, kwenye gari lililoingizwa bila kulipiwa ushuru eti ni la kituo cha kulelea yatima., benki ya deci na njiani kuelekea kanisani.
:smile-big:
RAISI WANGU NA WA WATANZANIA WOTE NI DK. KIKWETE
Wewe utakua mkatoliki Tafiti imefanyika kwenu, Kanisani, ofisini kwa padri, chuo cha st......., hospitali ya Jimbo, hoteli nyuma ya kanisa , mnada wa harambee ya kuchangia usimikwaji wa ........, kwenye gari lililoingizwa bila kulipiwa ushuru eti ni la kituo cha kulelea yatima., benki ya deci na njiani kuelekea kanisani.
:smile-big:
RAISI WANGU NA WA WATANZANIA WOTE NI DK. KIKWETE