G G 4real JF-Expert Member Joined Nov 17, 2014 Posts 454 Reaction score 212 Apr 20, 2015 #1 Ndugu wanaisimu wa lugha. Kama ambavyo tujuavyo kuwa kiswahili asili yake ni kibantu kwa kuona uthibitisho wake kisayansi na kihistoria. Je,hawa wabantu asili yao ni wapi? Nawasilisha.
Ndugu wanaisimu wa lugha. Kama ambavyo tujuavyo kuwa kiswahili asili yake ni kibantu kwa kuona uthibitisho wake kisayansi na kihistoria. Je,hawa wabantu asili yao ni wapi? Nawasilisha.
IYOMBO JF-Expert Member Joined Apr 20, 2015 Posts 381 Reaction score 218 Apr 23, 2015 #2 Wabantu asili yao ni kusini mwa jangwa la sahara na kimsingi lugha zao hufanana kimaumbo,msamiati,matamshi na hata miundo ya lugha zao.
Wabantu asili yao ni kusini mwa jangwa la sahara na kimsingi lugha zao hufanana kimaumbo,msamiati,matamshi na hata miundo ya lugha zao.
K komuge68 Member Joined Feb 25, 2014 Posts 31 Reaction score 17 Apr 24, 2015 #3 Mkuu, kuna viungo vingi kwenye Internet. Hiki nimekichagua kwa sababu kiingereza ni rahisi kidogo. pages.uscd.edu/dkjordan/resources/clarifications/BantuExpansion.html
Mkuu, kuna viungo vingi kwenye Internet. Hiki nimekichagua kwa sababu kiingereza ni rahisi kidogo. pages.uscd.edu/dkjordan/resources/clarifications/BantuExpansion.html