Asanteni sana wananchi kwa kuendelea kudumisha amani ya nchi. Huu sio ushindi wa mtu mmoja ni ushindi wa taifa

Asanteni sana wananchi kwa kuendelea kudumisha amani ya nchi. Huu sio ushindi wa mtu mmoja ni ushindi wa taifa

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
31,636
Reaction score
81,533
ASANTENI SANA WANANCHI KWA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI YA NCHI , HUU SIO USHINDI WA MTU MMOJA NI USHINDI WA TAIFA.


Hii nchi yetu ni, nikama FAMILIA changa ambayo inapambana dhidi ya UMASIKINI kwahiyo endapo baba akiwa anagombana na mama na watoto wanagombana wao kwa wao basi hakuna maendeleo yoyote yanayoweza kupatikana ndani ya hiyo FAMILIA.

Nchi ipo bado katika vita ya umasikini ,ambayo vita hii inahitaji , umoja na mshikano wa kitaifa , uzalendo , Amani na haki kutamalaki , Adui yetu ni UMASIKINI na sio sisi kwa sisi lazima SILAHA zote tuzielekeze sehemu husika ili kuifikia TANZANIA TUITAKAYO.

Na VITA hii sio ya MTU mmoja ila ni ya TAIFA zima kuhakikisha tunalinda kile tulichobarikiwa , Maliasili zetu , miundombinu na usalama wa nchi kwa ujumla. na sio kukaa na kuamini kuwa tuna MJOMBA au SHANGAZI nje ya NCHI ambaye atakuja kutusaidia baada ya sisi kuharibu kile tulichobarikiwa.au kuharibu Amani yetu na mshikamano wetu.

Nyinyi kama VIJANA na ambao ndo mtapokea mikoba ya UONGOZI siku za mbele , mnao wajibu wakukumbushana kuilinda TANZANIA , kuipambania TANZANIA na kuipenda TANZANIA.

KIJANA WEWE NDO NCHI NA NCHI NDO WEWE MAISHA YAKO YANA THAMANI SANA YALINDE , NA LINDA NCHI YAKO.

N.B IT IS NOT A CHOICE BUT A RESPONSIBILITY FOR THE ADULT MINDS OF TODAY TO IMPART WISDOM AND KNOWLEGE TO THE YOUNG MINDS THAT WILL CONTROL TOMORROW TO IGNORE THIS RESPONSIBILITY IS TO THROW AWAY ANY OF DECENT FUTURE FOR ANY OF US


KATAA MAANDAMANO❌ , OKOA MAISHA YAKO✅
 
ASANTENI SANA WANANCHI KWA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI YA NCHI , HUU SIO USHINDI WA MTU MMOJA NI USHINDI WA TAIFA.


Hii nchi yetu ni, nikama FAMILIA changa ambayo inapambana dhidi ya UMASIKINI kwahiyo endapo baba akiwa anagombana na mama na watoto wanagombana wao kwa wao basi hakuna maendeleo yoyote yanayoweza kupatikana ndani ya hiyo FAMILIA.

Nchi ipo bado katika vita ya umasikini ,ambayo vita hii inahitaji , umoja na mshikano wa kitaifa , uzalendo , Amani na haki kutamalaki , Adui yetu ni UMASIKINI na sio sisi kwa sisi lazima SILAHA zote tuzielekeze sehemu husika ili kuifikia TANZANIA TUITAKAYO.

Na VITA hii sio ya MTU mmoja ila ni ya TAIFA zima kuhakikisha tunalinda kile tulichobarikiwa , Maliasili zetu , miundombinu na usalama wa nchi kwa ujumla. na sio kukaa na kuamini kuwa tuna MJOMBA au SHANGAZI nje ya NCHI ambaye atakuja kutusaidia baada ya sisi kuharibu kile tulichobarikiwa.au kuharibu Amani yetu na mshikamano wetu.

Nyinyi kama VIJANA na ambao ndo mtapokea mikoba ya UONGOZI siku za mbele , mnao wajibu wakukumbushana kuilinda TANZANIA , kuipambania TANZANIA na kuipenda TANZANIA.

KIJANA WEWE NDO NCHI NA NCHI NDO WEWE MAISHA YAKO YANA THAMANI SANA YALINDE , NA LINDA NCHI YAKO.

N.B IT IS NOT A CHOICE BUT A RESPONSIBILITY FOR THE ADULT MINDS OF TODAY TO IMPART WISDOM AND KNOWLEGE TO THE YOUNG MINDS THAT WILL CONTROL TOMORROW TO IGNORE THIS RESPONSIBILITY IS TO THROW AWAY ANY OF DECENT FUTURE FOR ANY OF US


KATAA MAANDAMANO❌ , OKOA MAISHA YAKO✅
uko sahihi 100% gentleman,
Tanzania ni yetu sote, tuitunze kwa wivu mkubwa na kuilinda kwa umoja na mshikamano dhidi ya maadua wakuu ambayo ni ujinga, maradhi na umaskini.

Hakuna haja ya kupeleka huzuni majumbani mwetu kwa kujihusisha na fujo au uharibifu.

Itunze vyema zawadi ya uhai ulopewa na Mungu, kataa fujo :NoGodNo:
 
uko sahihi 100% gentleman,
Tanzania ni yetu sote, tuitunze kwa wivu mkubwa na kuilinda kwa umoja na mshikamano dhidi ya maadua wakuu ambayo ni ujinga, maradhi na umaskini.

Hakuna haja ya kupeleka huzuni majumbani mwetu kwa kujihusisha na fujo au uharibifu.

Itunze vyema zawadi ya uhai ulopewa na Mungu, kataa fujo :NoGodNo:
Hakika
 
Wajue kabisa hatuishi mitandaoni, tuko mitaani na kila mtu yuko bize na mishemishe zake za maisha
Wabakie huko huko insta na fesibuku kama ilivyokuwa Dec 9 hatukuwaona mitaa zaidi ya makelekel mengi mitandaoni
 
Tanzania
 

Attachments

  • FB_IMG_17643033626944249.jpg
    FB_IMG_17643033626944249.jpg
    18 KB · Views: 5
Samuya alikataliwa waziwazi tarehe 29 oct, kwasasa anafosi tu kutawala....mengine yoote ni porojo!.
 
Back
Top Bottom