pe.livinuu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 502
- 114
Karibu sana....nisaidie na mimi link ya hiyo thread aisee
Simu yoyote ambayo ni smartphone iwe tu na internet access
Karibu sana....nisaidie na mimi link ya hiyo thread aisee
Je hiyo program naweza weka kwenye simu ya techno,ya aina gani pia?
Kwanza inabidi ufungue account mspy itakayokuweza kupata taarifa zote za mlengwa
Pili inalipiwa $39.99 monthly
ukitaka primium pia ipo hiyo unapata mpaka text za whatsapp na blog alizotembelea na pics alizopiga,locations,nk
Ukishafungua account watakupa code namba utakazoingiza kwenye target device ukishadownload mspy
Mambo yote yanakuwa swari.
Hongera kwa kuchukua hatua...Isiwe mwanzo wa kuwa player, tuliza kichwa na utafute atakayekidhi vigezo vyako.
huku ni kujitafutia presha ukishajua ukweli lazma utaumia sanaHapana mkuu wewe unatakiwa kufungua tu account mspy utakakopata taarifa zake
Karibu sana....nisaidie na mimi link ya hiyo thread aisee