Albina
Member
- Feb 7, 2012
- 60
- 21
Habari zenu.
Jamaa yangu hapa amekua akinishawishi sana kujiunga nanyi lakini sikua nakaa sana humu nikiingia.
Lakini toka mwishoni mwa mwaka jana nimekua nikifuatilia topic zenu humu zime nijenga sana
na zimeimarisha sana mahusiano yangu.
Last week nilivo shauriwa kujiunga niliahidi kufanya hivyo,naona kama nime chelewa
sana kujiunga.
Shukrani zangu za dhati sana kwa michango ya kujenga ziende
kwa Lizzy,AshaDii,mwanakijiji...........ohhh wengine majina yamenitoka
ila kazi mnayo ifanya ni kubwa sana.
M'balikiwe sana.
Jamaa yangu hapa amekua akinishawishi sana kujiunga nanyi lakini sikua nakaa sana humu nikiingia.
Lakini toka mwishoni mwa mwaka jana nimekua nikifuatilia topic zenu humu zime nijenga sana
na zimeimarisha sana mahusiano yangu.
Last week nilivo shauriwa kujiunga niliahidi kufanya hivyo,naona kama nime chelewa
sana kujiunga.
Shukrani zangu za dhati sana kwa michango ya kujenga ziende
kwa Lizzy,AshaDii,mwanakijiji...........ohhh wengine majina yamenitoka
ila kazi mnayo ifanya ni kubwa sana.
M'balikiwe sana.