PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,999
Habari za Asubuhi wadau wenye mapenzi mema na jamvi hili?
Leo nna jambo hili,
Neno Asante. Kwa kifupi mimi si mtu wa kutenda mema na kungoja shukrani kwa sababu naona hiyo si kutenda
wema tena bali ni biashara. Neno asante hapa kwenye kutendewa wema siyo shukrani bali ni neno tu linalotolewa
ili kumjulisha mtenda kwamba ume 'appreciate' alichotenda. Binafsi nisipoambiwa asante huwa najiuliza maswali mengi sana.
Labda hajaridhika na nlichotenda? kwa nini asiniambie haitoshi ili nimuongeze? Anataka nini hasa?
BTW : Kwa uchunguzi wangu, Watu wengi ambao wana tabia ya kutosema Asante ni Wenzi wetu(spouses) na ndugu (family).
Kwa hiyo mimi pasipokuwa na asante pananifanya nihisi labda nilichotenda hakitoshi...
Unajisikiaje ukiwa kwenye viatu vyangu?(put yourself in my shoes, as it appears to be!)
Leo nna jambo hili,
Neno Asante. Kwa kifupi mimi si mtu wa kutenda mema na kungoja shukrani kwa sababu naona hiyo si kutenda
wema tena bali ni biashara. Neno asante hapa kwenye kutendewa wema siyo shukrani bali ni neno tu linalotolewa
ili kumjulisha mtenda kwamba ume 'appreciate' alichotenda. Binafsi nisipoambiwa asante huwa najiuliza maswali mengi sana.
Labda hajaridhika na nlichotenda? kwa nini asiniambie haitoshi ili nimuongeze? Anataka nini hasa?
BTW : Kwa uchunguzi wangu, Watu wengi ambao wana tabia ya kutosema Asante ni Wenzi wetu(spouses) na ndugu (family).
Kwa hiyo mimi pasipokuwa na asante pananifanya nihisi labda nilichotenda hakitoshi...
Unajisikiaje ukiwa kwenye viatu vyangu?(put yourself in my shoes, as it appears to be!)