Asante Mungu nimepata kazi serikalini

Asante Mungu nimepata kazi serikalini

cathy14

Member
Joined
Apr 11, 2014
Posts
37
Reaction score
23
Napenda kumshukuru mungu kwa kunijaalia nafasi hii ya kipekee maana bila Mimi peke Yang nisingeweza anijaalie moyo wa kujituma kwa bidii bila kuchoka, pia nawashukuru sana wana JF na ambaye alijitolea kuweka lile tangazo la kazi mungu awabariki, ambao bado mnatafuta kazi msichoke wala kukata tamaa fungu lako lipo sehemu Fulani mungu atakapo kupa kama Mimi,
 
Wapi huko umepata? Embu taja basi tufurahi sote!
Napenda kumshukuru mungu kwa kunijaalia nafasi hii ya kipekee maana bila Mimi peke Yang nisingeweza anijaalie moyo wa kujituma kwa bidii bila kuchoka, pia nawashukuru sana wana JF na ambaye alijitolea kuweka lile tangazo la kazi mungu awabariki, ambao bado mnatafuta kazi msichoke wala kukata tamaa fungu lako lipo sehemu Fulani mungu atakapo kupa kama Mimi,
 
Napenda kumshukuru mungu kwa kunijaalia nafasi hii ya kipekee maana bila Mimi peke Yang nisingeweza anijaalie moyo wa kujituma kwa bidii bila kuchoka, pia nawashukuru sana wana JF na ambaye alijitolea kuweka lile tangazo la kazi mungu awabariki, ambao bado mnatafuta kazi msichoke wala kukata tamaa fungu lako lipo sehemu Fulani mungu atakapo kupa kama Mimi,
hongera sana,nakupa hongera kwani inaonyesha umemtukuza mungu.yaani hukuhonga ila umepata kazi huko.sisi wengine bhana kila tukijaribu tunnaangukia varandani hata sebuleni hatupaonni pamekaaje!kwakuwa umefika sebuleni jitahidi kupaweka fresh ili wageni wafurahie!lol
 
Napenda kumshukuru mungu kwa kunijaalia nafasi hii ya kipekee maana bila Mimi peke Yang nisingeweza anijaalie moyo wa kujituma kwa bidii bila kuchoka, pia nawashukuru sana wana JF na ambaye alijitolea kuweka lile tangazo la kazi mungu awabariki, ambao bado mnatafuta kazi msichoke wala kukata tamaa fungu lako lipo sehemu Fulani mungu atakapo kupa kama Mimi,

Hongera sana sema tatizo tu Mungu umeandika kwa 'M' ndogo!
 
Back
Top Bottom