Kwan mnabishana nin, em anayejua kaz za mbunge katika kufanikisha maendeleo afunguke then tujue kama mpangilio na maendeleo ya wana Mbeya ni mkono wa Sugu au vp??
Watu wa Mbeya sio kama unavyofikilia, Kawaambie Tabora na Ruvuma na Pwani huko ndo utakuwa na uhakika wa maccm Jiji letu hatuwezi kulitia unajisi wa kurudi Misri yaani dhambini ccm.
Watu wa Mbeya sio kama unavyofikilia, Kawaambie Tabora na Ruvuma na Pwani huko ndo utakuwa na uhakika wa maccm Jiji letu hatuwezi kulitia unajisi wa kurudi Misri yaani dhambini ccm.