Asante Jaji Lubuva kwa matokeo ya 2015

Unadhani angekuwa rais angehama?
Urais ungekuwa kinga ya mali zake. Huko ccm kamsujudia shetani hivyo anapewa fahari za dunia hii.
Who knows anaweza kuwasujudia wazungu wakombe migodi yote ya madini?

Morani kimeo huyu.
 
Who knows anaweza kuwasujudia wazungu wakombe migodi yote ya madini?

Morani kimeo huyu.

Mzungu akitaka madini yako, umsujudie, usimsujudie atayachukua. Angalia Acacia inasemekana hawajasajiliwa hapa nchini na rais aliyepo madarakani hawasujidii lakini bado wapo na wanachukua madini. Mzungu ni kama maji, usipomnywa utamuogea. Kama huamini nenda Library Hapo chuo kikuu kaangalie vitabu vya wazungu ni vingapi na vya waswahili ni vingapi, kisha uje utoe mrejesho.
 
shikamoo pesa

babawawili
 
Haya bwana.
 
Kwa hatua zake za sasa ni kweli hakuwa mgombea mzuri.
Lakini kwa tume hii inayotawaliwa na kuongozwa, na mgombea mojawapo au chama kimojawapo HAPANA. Hatuhitaji uchaguzi wa kiini macho, wakati matokeo yanajulikana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawai kuona masai mbabaishaji kama lowasa kiukweli kavuruga sana upinzani kwa matuhuma yake ya wizi baada ya kuona haitwi tena fisadi kataka anabadli gia hewani eti karudi nyumbani!! alaaniwe mbowe na kamati kuu yake uchwara kwa kutuletea mgombea hewa
 
Ameipaka chadema matope yasiyofutika! Kama ni kinyesi, basi kinanuka sebule yote.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…