Asali mbichi unaitambuaje?

Asali mbichi unaitambuaje?

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
4,289
Reaction score
2,472
Nauliza unawezaje kuitambua? Na ni kwa nini asali hvchemshwa?
 
Chovya njiti ya kiberiti ndani yake alafu chomoa washa ikiwaka ujaue safi ikilowana ujue feki hyo pili tafuta glasi nyeupe weka maji kisha mimina asali itashuka chini aitojichanganya na maji ikijichanganya ujue feki au imwage chini kidogo itajiviringisha kama gololi
 
Katika chupa geuza juu chini,endapo itadondoka kama donge hiyo si nzuri ila ikishuka kwa kutiririka ni safi,
 
Nauliza unawezaje kuitambua? Na ni kwa nini asali hvchemshwa?
Wallet ukitaka kuijua asali mbichi ambayo haijachanganywa chukua karatasi nyeupe size ya A4 mwaga asli juu yake kama kijiko kimoja au viwili vya chakula kaa muda wa dakika mbili.
Kama iyo karatasi haijaloana kwa chini basi hiyo asali ni mbichi.
Njia nyengine ni kutumia njiti ya kiberiti iloweke kwenye asali alafu chukua hiyo njiti uwashe kwa kutumia kiberiti kama kitawaka basi hiyo ni asali mbichi.
Natumai naaweza kuwa nimesaidia kidogo
 
Nashukuruni sana wadau. Nikiwa desktop nitawagongea laiki
 
Kwanini Asali mbichi? Kwani kuna kavu au iliyopikwa?!
Ova
 
Kwan asali mbichi ni ambayo haijachemshwa au ambayo haijachabganywa na maji???
 
Back
Top Bottom