.mkuu unaposema asali nzuri unamaanisha nini? Hilo ndilo unatakiwa uliseme ili sisi walaji tulitolee uamuzi. Mfano, inakiasi gani cha maji, moshi, aina ya miti ya maua nyuki walikochukua chamvua. Je, maeneo hayo yako umbali gani na shughuli za kilimo kama tumbaku nk. nk. Kwa uchache tu. Hata hivyo ninakutakia soko jema lenye mafanikio.