Ila tusemazane ukweli.
sidhani kama mwenye thread hii ni mshamba Ila kawa na ujasiri wa kujianika na ku show identity yake.
wengine wanasema Mods watoe hii kitu, kwa kosa lipi?
yeah humu sio Fb lakini hakuna sheria iliyosema kuwa humu hakutakiwi post za hivi, ila ni mawazo yetu ,utashi na mazoea.
mtoa mada ukipata muda post na picha ya sist wako then Nitag, picha ya kazi yako na ofice yako.....
karibu