Asalaamu aleykum

Hahahahaaa shule zimefungwa naona watoto wamekuja kulrleta fujo
 
Waalykumu salaam ila umelegea sana dogo kaza sura na mkono hapa sio fb
 
Kumbe kaingia JF 11/5/2017, inshallah Mungu akijalia kesho kutwa Jumapili 11/6/2017 atamaliza mwezi hapa JF
 
Ila tusemazane ukweli.
sidhani kama mwenye thread hii ni mshamba Ila kawa na ujasiri wa kujianika na ku show identity yake.

wengine wanasema Mods watoe hii kitu, kwa kosa lipi?

yeah humu sio Fb lakini hakuna sheria iliyosema kuwa humu hakutakiwi post za hivi, ila ni mawazo yetu ,utashi na mazoea.

mtoa mada ukipata muda post na picha ya sist wako then Nitag, picha ya kazi yako na ofice yako.....


karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…