Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,836
- 5,259
Naona unataka kujisahaulisha sasa. Vp lakini mzima?
Hahahaaa. Fanya kazi Mtani mi kwa Mhindi hapa nishafua nasubiri time ya kuwapikia cha mchana. Teh teh. 😜😜
Ni jambo la kheri.
Hahahah poaHahahaaa. Fanya kazi Mtani mi kwa Mhindi hapa nishafua nasubiri time ya kupika cha mchana. Teh teh.
Ha ha haaa.... (Umenikumbusha mbaaali)Baada ya pale wakachooka. Hakukuwa na cha MASUKU wala nani.
Ila wabaya sana nyie. 🙈🙈🙈
Mie Alhamdulillah niko bukheri wa afya. Napambana na hali yangu hapa.
Binamu umekumbuka wapi huko?Ha ha haaa.... (Umenikumbusha mbaaali)
Enzi zile wachezaji tukipewa vifurushi kuweka ndani ya stockings...!! Baada ya dkk 90 !! Tumefubgwa 5-0 khaahBinamu umekumbuka wapi huko?
PoAhMie Alhamdulillah niko bukheri wa afya. Napambana na hali yangu hapa.
Mwenyewe nimeshangaa kwamba mtu analala wakt wa kujiandaa kuingia uwanjani sijui hawakulala hotelini.picha wapige wenyewe vyumba vya kwao wenyewe afu izo acting mtu amelala wakati ni mda wakujiandaa na mechi no body is going to fall for that ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah so FunnyInaitwa an Unknown Spray, ni Kali sana,inalegeza kiasi cha kuifanya team itangulie kupata goli na icheze kwa ushindani mkubwa hata kukaribia kupata bao LA ushindi dk za mwisho na kupigwa goli LA kutolewa dk za mwishooo kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani?.Jecha au?😂😂😂Jaji wa kusikiliza kesi yao na kufuta matokeo walimuacha huku huku.
Huko CAF wanaenda kuliwa.
Mask zenyewe ni za madocta za kufanyia surgery. Sasa sijajua hizo mask zinazuia vipi hewa yenye sumu?Mwenyewe nimeshangaa kwamba mtu analala wakt wa kujiandaa kuingia uwanjani sijui hawakulala hotelini.
Afu wamesema vyumbn ndo kumepuliziwa afu cha ajabu wamekaa koridoni huku wamevaa mask
Sent using Jamii Forums mobile app
YahNani?.Jecha au?
Huenda ni simu ya pantsInaitwa an Unknown Spray, ni Kali sana,inalegeza kiasi cha kuifanya team itangulie kupata goli na icheze kwa ushindani mkubwa hata kukaribia kupata bao LA ushindi dk za mwisho na kupigwa goli LA kutolewa dk za mwishooo kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app