Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,239
- 12,756
Kazi nzuri
UDSM wanahusikaje hapo? Kwani wao ndio wamebuni? Basi tuwaite Arusha technical waje kumaliziarushiamo kapichaa, hongera kwaooo
ivi lile la Kipanya version ingine yatoka lini?
hii haparushiamo kapichaa, hongera kwaooo
ivi lile la Kipanya version ingine yatoka lini?
watawambia dimension haipo sawa😂😂😂😂 hawakosagi sababuAtapigwa marufuku mara moja na TBS
Acha kukurupuka kwani Udsm hawawezi kuomba kuboresha?UDSM wanahusikaje hapo? Kwani wao ndio wamebuni? Basi tuwaite Arusha technical waje kumalizia
Kwa Tanzania yetu hii, ndiyo imetoka hiyo. Kiufupi hatuna viongozi wenye maono. Zaidi tuna viongozi mafisi na wapigaji tu.Hakika nimependezwa sana na UBUNIFU uliofanya na Wanafunzi wa Kidato cha 5 ktk Shule ya Sekondari Arush Science ya KUBUNI na Kutengeza GARI dogo linalotumua SOLAR.
UBUNIFU huo naona kuwa ni Mwanzo mzuri kuelekea UBUNIFU mkubwa Endapo tu WIZARA ya Viwanda ikushirikiana na CHUO KIKUU UDSM na WATALAAMU Wengine Watashirikiana na SHULE ya SEKONDARI ARUSHA kuliboresha GARI hilo kwa Kuliwekea VIFAA vikubwa zaidi ili liweza kutembea Zaidi ya Kilomita 160 za sasa na kutembea hata Kilomita 1000 na Kubeba Mzigo Mkubwa zaidi.
Nilitarajia baada ya Habari za UBUNIFU huu kusikia WATALAAM mbalimbali toka Wizara ya Viwanda UDSM DIT wangejitokeza Kuzungumzia UBUNIFU huu na Kuahidi Kuuboresha mara 100 ili GARI hilo liwe Mwanzo mzuri wa NCHI kutengeneza MAGARI yanayotumia SOLAR.
SHIME SERIKALI tambueni UBUNIFU HUO.
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
wakakamue maganda ya koroshooeee tupate mafuta yatakayokuwa purified kwa ajili ya magari ...nawaza kifala sanaAgain, it's a big toy. Ni sawa kwa watoto wa sekondari kutengeneza, yatakuwa maajabu kama UDSM watapoteza muda wao kwenye huo ujinga.
Hawajawahi hata kuchonga kijiko sahani au bakuli, huko kwenye gari ni mbali sanaUBUNIFU huo naona kuwa ni Mwanzo mzuri kuelekea UBUNIFU mkubwa Endapo tu WIZARA ya Viwanda ikushirikiana na CHUO KIKUU UDSM na WATALAAMU Wengine Watashirikiana na SHULE ya SEKONDARI ARUSHA kuliboresha GARI hilo