Arusha: Waliokimbilia CCM waomba kurudi CHADEMA

Arusha: Waliokimbilia CCM waomba kurudi CHADEMA

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
14,242
Reaction score
34,917
Habari,

Kutoka zapa Fm zinasema vijana wawili waliokua CHADEMA na kutimkia CCM wakati wa kampeni wameomba kurudi CHADEMA kwa kile walichodai CCM hawakupata maslai waliyokua wanataka.

Wandishi wa habari wa kituo cha Radio Zapa FM Bwana Daniel Shirima amesema vijana hao bwana Rashid Shurbet na Arnold Kamde waliondoka CHADEMA na kwenda CCM kwa kile walichosema kutafuta maslai bora leo hii wanaomba kurudi CHADEMA. Bwana Daniel Shirima amesema amemtafuta kwenye simu katibu wa wilaya wa CCM bwana Feruzi Bano lakini amegoma kuzungumzia swala hilo.
 
Mm nawashauru wabaki Tanzania waachane na habari za siasa
 
Habari,

Kutoka zapa Fm zinasema vijana wawili waliokua CHADEMA na kutimkia CCM wakati wa kampeni wameomba kurudi CHADEMA kwa kile walichodai CCM hawakupata maslai waliyokua wanataka.

Wandishi wa habari wa kituo cha Radio Zapa FM Bwana Daniel Shirima amesema vijana hao bwana Rashid Shurbet na Arnold Kamde waliondoka CHADEMA na kwenda CCM kwa kile walichosema kutafuta maslai bora leo hii wanaomba kurudi CHADEMA. Bwana Daniel Shirima amesema amemtafuta kwenye simu katibu wa wilaya wa CCM bwana Feruzi Bano lakini amegoma kuzungumzia swala hilo.
Hao ni wachumia tumbo wabakie huko huko
 
Wakae huko huko na wamkumbushe monaban ule unga aliogawa umekwisha alete awamu nyingine, kwa kumsaidia ajiunge na mpango wa Tasaf, wao wakileta fedha yeye alete unga, asituangushe.
 
Wakae huko huko na wamkumbushe monaban ule unga aliogawa umekwisha alete awamu nyingine, kwa kumsaidia ajiunge na mpango wa Tasaf, wao wakileta fedha yeye alete unga, asituangushe.
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh, walienda kuchukua vijicent
 
Wabakie hukohuko Ccm walizoea unga wa bure wameanza kuisoma no ndo Wanataka kurudi .
 
Njaa mbaya sana! Ama kweli aombewe adui tu.

Eti hawakupata maslahi, wakawatelekeza wadai haki, na kugandana na udhalimu. Only in Bongo...
 
Back
Top Bottom