Walishaanza mda toka August asee labda bachelor had NovemberHabari.mwenye kufahamu kuanza kwa masomo atc kwa wanafunzi wa diploma atuhabarishe.
Mshauri aende data star college pale ni mainjinia na matechnician tuColleg hiyo inahusika na nn hasa maana ninaona jirani yang kasoma HGL nae snataka Arusha colleg

Ada pamoja na michango mingine shilingi ngapi mkuu?na je,inaweza kulipwa kidogo kidogo!Karibu sana ATC mkuu, Sisi wana ATC tunasema Skills make the difference
Man chuo chochote kile ukilegeza kamba lazima ule mkasiChup kile ukiwa mzembe utapata sup za kutosha hatakama hutaki![]()
Ila hapo wamezidi mzeee pale hatakama unajitahid unaweza kupewa ya kusingiziwa tuuMan chuo chochote kile ukilegeza kamba lazima ule mkasi